JamiiForums YouTube Video ya Kadinali Pengo kaburini Kwa Hayati Magufuli ina watazamaji 54K, kwenye Trending ni ya 15

JamiiForums YouTube Video ya Kadinali Pengo kaburini Kwa Hayati Magufuli ina watazamaji 54K, kwenye Trending ni ya 15

Baada ya mamlaka kushindwa kumfutia Magu ktk mioyo ya Watanzania Kwa KAZI njema alizofanya,

Hawana budi kutuletea kiongozi wa kaliba ya Magu mnamo 2025.
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 🤣 haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

Ch ajabuView attachment 2556204
Hakuna cha ajabu, watu wakisikia hata nzi kwenye kinyesi hugeuka na kuangalia
 
Ebu nenda wewe katembelee kaburi lake Tuone atapata views wangapi ndo utaelewa. Cardinal Ndo ametazamwa
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 [emoji1787] haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204

Ya Askofu Pengo 9. La 10 ni Askofu Severine ambaye kaamua kuyasema yote hazarani. Kaanza na ya Magufuli, katoa fa'twa kuwa tarehe 17 Machi ya kila mwaka tutasherehekea Misa ya kumbukizi la JPM. Hili ni tamko la Askofu sawa na Waraka kwa Wakorinto. Kaelezea kwa kirefu juu ya mtu huyu, kaishia kuelezea yaliyotokea Baraza la Maaskofu Ujerumani, akalaani. As long as tuna Mungu wetu kule juu, atatuchagua sie viumbe wake dhaifu kutangaza neno lake, leo kamchagua huyu Baba.
 
Samia sisi hatujamchagua tulimpigia kura Magufuli.

Hii ni awamu ya Magufuli mpaka 2025.

Samia ni Kaimu Rais tu.

Sasa ana kazi ya kutushawishi ili tuone kuwa anafaa.

Kama hafai tunachagua mwingine.
 
Samia sisi hatujamchagua tulimpigia kura Magufuli.

Hii ni awamu ya Magufuli mpaka 2025.

Samia ni Kaimu Rais tu.

Sasa ana kazi ya kutushawishi ili tuone kuwa anafaa.

Kama hafai tunachagua mwingine.
Unaongea as if kura yako uchwara inaweza kuamua nani awe Rais hapa TZ.
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 🤣 haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204


Ongeza viewers ongezaaaa bado kidogo tu atarudi
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 🤣 haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204


Acha kujipa moyo, harudi huyo.
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 [emoji1787] haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204

Ukiweka Video ya Shetani ama ya Amba Rutty YouTube itaangaliwa na Dunia nzima
 
Back
Top Bottom