JamiiForums YouTube Video ya Kadinali Pengo kaburini Kwa Hayati Magufuli ina watazamaji 54K, kwenye Trending ni ya 15

JamiiForums YouTube Video ya Kadinali Pengo kaburini Kwa Hayati Magufuli ina watazamaji 54K, kwenye Trending ni ya 15

Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 🤣 haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204


Hizo views hazifiki hata moja ya kumi 1/10 ya wimbo wa 'Sukari' wa Zuchu ndani ya saa sita tuu
Acha Ushamba wa views
 
Tuanzishen Poll yetu humu.

Tuweke

A) Hayati JPM (PhD ya Kusomea)

B) Dokta Samia ( PhD ya kupewa).
Haita kusaidia chochotw kwa sababu ukweli utabaki palepale kwamba magufuli hayupo kafa keshaoza huko mchangani na samia yupo na ni Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania na wewe ukiwa chini yake,full stop
 
Kuna watu wanalazimisha pm aabudiwe hata km tayar alishatangulia.yan wanataka hii siku aliyofariki iwe kama siku ya mapumziko kwao na kelele nyingi.

Mbona mnalazimisha mambo ndugu zetu nyie

Mnaonekana mlikuwa wanafaika wakubwa na roho zinawauma

Basi mwambieni zumarudi afanye jambo

Huyo pengo roho Ina muuma samia kuwa rais

Mana chai alikuwa anakunywa ikulu kipindi kile kabla mambo hayaja badilika
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 🤣 haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204


Hakuna kiongzi wa serikali aliyekwenda huko jana isipokuwa mkuu wa mkoa wa Geita na machawa wachache wa jpm kama Kalemani na Bashungwa.

Tena ujue kwamba Pengo alikuwa anakwenda jimboni Geita ambako leo ametabaruku Kanisa Kuu so alipita tu kwa bahati mbaya.
 
Samia sisi hatujamchagua tulimpigia kura Magufuli.

Hii ni awamu ya Magufuli mpaka 2025.

Samia ni Kaimu Rais tu.

Sasa ana kazi ya kutushawishi ili tuone kuwa anafaa.

Kama hafai tunachagua mwingine.
Gambo ushashiba maghimbi ss unakuja kubehua huku[emoji3061]
 
Huyu Mtu anaishi, Amekufa Kiroho tu ila ila Anaishi.

Haya ni Maajabu Ndugu zangu, maajabu kabisa.

Ingieni YouTube tafuteni Habari ya Kadinali Pengo kutembelea Kaburi la JPM, Channel zote maarufu maarufu Zina watazamaji kuanzia 5K na kuendelea!

Maajabu ya Mwaka, Rais Samia na Jukwaa lake la Chakula, habari yake, Chukueni channel zote zilizoirusha hiyo habari, alafu jumlisheni idadi ya watazamaji, Bado bado hazifiki hata Channel ya JF ilomuonyesha Kadinali Pengo Kwa JPM.

WaWanasiasnina waambia, Mwanasiasa atakayehitaji Taifa liwe pamoja naye, ni yule pekee atakayeamua Kumuenzi, kuziheshimu Falsafa za JPM. Huyu mtu amependwa, alipendwa na ataendelea kupendwa siku zote.

Kujaribu kufuta kila kitu chenye mkono wa JPM, ni ujinga ujinga unaofanywa na wajinga wasojielewa waloupata utawala Kwa bahati bahati tu.

Hivi inawezekana vipi, Marehem anapata Watazamaji zaidi ya elfu hamsini, alafu Alite Hai anapata Watazamaji 124 [emoji1787] haya ni Maajabu ,ni maajabu hahahahahhahah.

RAIS SAMIA SULUHU, KAMA UTASOMA ANDIKO HILI, NA LIIKUFIKIE NA KIKUNDI CHAKO, HESHIMA ULOMPA BASHUNGWA WAZIRI WA ULINZI, NI HESHIMA KUBWA KWA KIJANA ,HESHIMA AMBAYO IMEKUZIDI HATA WEWE MWENYEWE NA KIKUNDI CHAKO NA HESHIMA AMBAYO ILIKUA NI YAKO WEWE.

Unarushwa Laivuu na maTV yote, alafu watu hawana habari Nawewe?

Marehem wa miaka miwili, anatizamwa na Mamilioni ya Watanzania, na Bado Hamjishtukii?

Pole sana. Ni Upuuzi ulowajaa enyi Msoga Gang, kuendelea kuukwepa ukweli.

View attachment 2556204

Hata shetani mkuu(lucipher) ana watazamani wengi kwa kuwa wengi wanamshangaa na ushetani wake.
Angalia wafuatiliaji wa hitler,musolin,idiamin,sadam,gadaf ni watu wabaya wanatred hadi leo
 
Tuanzishen Poll yetu humu.

Tuweke

A) Hayati JPM (PhD ya Kusomea)

B) Dokta Samia ( PhD ya kupewa).
Naona wewe una lako jambo!

Lakini ninakubaliana na pendekezo lako hapo; ila JF ilivyo utakuta wanaopiga kura ni wa makundi, 'fanatic' wa kila upande. Kwa hiyo huwezi kupata picha iliyo sahihi.
 
Huenda watu hawaamini kama kafa kweli maana hata yeye mwenyewe nadhani aliamini ni Mungu kwa kupenda kutukuzwa.

Hajawahi kukemea kuitwa nakufananishwa na majina kama Mungu ama Yesu.

Zumaridi na upumbav. u wake wote kwamba sijui alienda mbinguni na madude ya kijinga huwa anafuatiliwa na watazamaji zaidi ya 100k.
Wa sahizi si ana chawa wake kabisa wa kumtukuza, lini alikemea?
 
Hata shetani mkuu(lucipher) ana watazamani wengi kwa kuwa wengi wanamshangaa na ushetani wake.
Angalia wafuatiliaji wa hitler,musolin,idiamin,sadam,gadaf ni watu wabaya wanatred hadi leo
Ebu elezea ubaya wa hao watu uliowaorodhesha kwanza tuujue kama siyo kukaririshwa?
 
Back
Top Bottom