Lanlady JF-Expert Member Joined Feb 27, 2019 Posts 1,836 Reaction score 6,303 Jun 21, 2023 #1 Inawezekana ikawa ni mbinu ya kugawanya na kutawala (divide and rule)? Ni nani wako nyuma ya hii vita?
Inawezekana ikawa ni mbinu ya kugawanya na kutawala (divide and rule)? Ni nani wako nyuma ya hii vita?
Trueman m JF-Expert Member Joined Nov 26, 2014 Posts 362 Reaction score 400 Jun 21, 2023 #2 Hawa CWT wanaweza kusubiri, tunahangaika kwanza na issue ya bandari.
Lanlady JF-Expert Member Joined Feb 27, 2019 Posts 1,836 Reaction score 6,303 Jun 21, 2023 Thread starter #3 Trueman m said: Hawa CWT wanaweza kusubiri, tunahangaika kwanza na issue ya bandari. Click to expand... Ni kweli suala la bandari ni muhimu sana. Lakini tukumbuke tu kwamba rasilimali nyingi za nchi hii zinasimamiwa na wanaojiita 'wawekezaji' ambao hutumia fedha za watanzania kuendesha miradi ya watanzania. "Hii nchi imeliwa sana"
Trueman m said: Hawa CWT wanaweza kusubiri, tunahangaika kwanza na issue ya bandari. Click to expand... Ni kweli suala la bandari ni muhimu sana. Lakini tukumbuke tu kwamba rasilimali nyingi za nchi hii zinasimamiwa na wanaojiita 'wawekezaji' ambao hutumia fedha za watanzania kuendesha miradi ya watanzania. "Hii nchi imeliwa sana"