JAMVI LA WANAWAKE: Baada ya kumuoa anataka wawe wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, afanyaje?

So far I'm proud of you elimisha hawa wajinga wanaotuita mbwa halafu ikifika visikukuu vya kijinga kama valentine wanataka gifts
 
Kichwa cha uzi kinasema Jamvi la wanawake nashangaa kuona wanaume ndo wa kwanza kuchangia.
 
Asikubali huo ushetani. Huyo mume tayari ana wahuni wanaompa anayotaka. Ashikilie msinamo wake. Yeye ni mke. Sio mhuni. Full stop atakuheshimu. Labda alisikia kwa wahuni wengine kuwa unatoa. Kama sivyo afadhali ndoa iishe kwa sababu hiyo. Hajielewi bado. Shida vijana wengi wameingia ktk mtego huu. Hasa wasichana kwa kuogopa kupata uja uzito.
 
Asante sana Ndalilo, ushauri utamfikia.
 
Ana options mbili, ampe au aombe talaka. Muulize kati ya hizo lipi ni rahisi zaidi kulifanya?
Kupanga ni kuchagua.
 
Hicho ni kigezo tosha cha kuvunja ndoa,..vunja hiyo ndoa au kubali kutoa mixx by yas uingie dhambini pia uwe hatarini kupata madhara mengine ya kiafya na pia utatembea na pampasi maisha yako yote (gharama ),hapo ujavaa pedi, kumbuka utakuwa unanuka mavi muda wote
 
Kweli kiswahili kinakuwa, bila kusoma ndani nilikuwa sijaelewa uliposema Ndogo

Bora tumezeeka sasa πŸ™Œ
 
Nahisi uongozi wa jamii forums huwa unavutiwa sana na mada za aina hii, kuliko hata zile mada za Wananchi kuikosoa serikali isiyo jielewa.
Mada za wananchi ni muhimu sana na kila mtu anapaswa kushiriki kwa namna moja au nyingine huko mtaani na pia JamiiForums kama sehemu ya kuexercise civic duties zake.

Ila pia mada za kijamii, zile zinazogusa maisha binafsi ya watu zina umuhimu wake. Inatulazimu kuongelea maswala ya kimahusiano au changamoto nyingine za maisha kutoa balanced reflection ya jamii zetu.
 
Hii dhambi Mungu hutoa adhabu mwenyewe ukiwa bado hai.Kumbuka katika ndoa miili yenu tu ndo mmoja.Lakini kila mtu anabeba nafsi yake.Hivyo kama nafsi yako inakaataa ifuate.Mungu atakupa mume mwingine
 
Kichwa cha uzi kinasema Jamvi la wanawake nashangaa kuona wanaume ndo wa kwanza kuchangia.
Asante kwa Reply Dede,

Jamvi la leo la wanawake linaelezea mkasa wa mwanamke uliosababishwa na mwanaume. Naona ni vizuri kabisa kwa wanaume kushiriki pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…