Mmejaa ubinafsi tu hamna kitu Cha maana!!mnataka Kila saa tuwaze matakwa yenu wakati hakuna Cha maana mnacho offer zaidi ya huo uke kwetu!!
Bora tuendelee kujipenda wenyewe coz nimejifunza ukiona mwanamke anakupa penzi ujue malengo yake hayajatimia na anakutegemea!siku akitimiza malengo yake tu anaanza uchuro plus visirani!!