Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakata sana 🤣 🤦♀️Akikosa Pesa
Hii post ukiitazama kwa mtazamo hasi utagundua ina mambo mengiWe love to see it.
Vipi, huko nyuma hakuna kijana alishawahi kukukata?
Yapi hayo?Hii post ukiitazama kwa mtazamo hasi utagundua ina mambo mengi
Kwahiyo tukisema na sisi tuna mahitaji ya kihisia zaidi ya sex, huo ni ubinafsi?Mmejaa ubinafsi tu hamna kitu Cha maana!!mnataka Kila saa tuwaze matakwa yenu wakati hakuna Cha maana mnacho offer zaidi ya huo uke kwetu!!
Bora tuendelee kujipenda wenyewe coz nimejifunza ukiona mwanamke anakupa penzi ujue malengo yake hayajatimia na anakutegemea!siku akitimiza malengo yake tu anaanza uchuro plus visirani!!
🤣🤣🤣Tusiokuwa na hela kazi tunayo