Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

Hadi wazungu wa Poland wanauelewe uchelewaji huu, British sijui wote tunafurahia kuchelewa tu, binafsi yangu naweza kuchelewa sana na wakati mwingine nisifike kabisa ukumbini 😀
We Ganjibhaai wewe 😄
 
Kwa maelezo haya nakutunuku uenyekiti wa wapiga chafya sema vina raha yake havichakazi chiu
Mwisho wa siku mimi uhitaji wangu ni kukojoa,kwa mke wangu kipaumbele ni mimi nifurahi kwa kukojoa mkojo ambao mtaokeo yake ni watoto.
Sasa km mtu hayuko tayari kufurahi mimi sina sababu ya kumfurahisha bali nifurahi mimi.
 
Mwisho wa siku mimi uhitaji wangu ni kukojoa,kwa mke wangu kipaumbele ni mimi nifurahi kwa kukojoa mkojo ambao mtaokeo yake ni watoto.
Sasa km mtu hayuko tayari kufurahi mimi sina sababu ya kumfurahisha bali nifurahi mimi.
Kwanini kipaumbele chako na mke wako vyote ni kukufurahisha wewe tu.

Nani ana kipaumbele cha kumfurahisha mkeo?
 
Kwanini kipaumbele chako na mke wako vyote ni kukufurahisha wewe tu.

Nani ana kipaumbele cha kumfurahisha mkeo?
Kama yuko tayari kufurahi tutafurahishana na kama hayuko tayari basi nitafurahi mimi tu within a minute. Siwezi kutumia nguvu zangu vyiiiingi eti ili nimfurahishe mtu ambaye hana nia ya kufurahi.
 
Kama yuko tayari kufurahi tutafurahishana na kama hayuko tayari basi nitafurahi mimi tu within a minute. Siwezi kutumia nguvu zangu vyiiiingi eti ili nimfurahishe mtu ambaye hana nia ya kufurahi.
Huo ni ubinafsi, kama wewe unavyosema mahitaji yako yawe kipaumbele, unatakiwa kufanya pia mahitaji yake kipaumbele kwa kumfanyia vile vitu anapenda kwenye tendo.

Anyway, mapenzi ya ndoa hayashaurikagi, endelea kufurahi vile unavyojua wewe, muda utakuonyesha kitu!
 
Huo ni ubinafsi, kama wewe unavyosema mahitaji yako yawe kipaumbele, unatakiwa kufanya pia mahitaji yake kipaumbele kwa kumfanyia vile vitu anapenda kwenye tendo.

Anyway, mapenzi ya ndoa hayashaurikagi, endelea kufurahi vile unavyojua wewe, muda utakuonyesha kitu!
Ni kwamba,kama mwanamke anahitaji kufurahi na yuko tayari ni jambo la kugusa mwili wake tu,tayari anakupa mrejesho sahihi na wala haimchukui dakika tano kufika huko Mawenzi.

Mwanamke anawaza vikoba mara kausha damu,anawaza namna ya kupanga ratiba ambayo haitagonganisha michepuko yake halafu mimi nijifanye eti nataka kumfuhisha!
Hakuna jambo la namna hiyo kwangu,anataka kufurahi,awe tayari kufurahi,km hana mpango basi mimi ni 80 seconds nimetua mzingo mziiiitoooo kiroho safi kabisa huyo natulia.
 
Back
Top Bottom