Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kanuni yenyewe ni uwe mvivu usiwe mvivu kuchepukiwa kuko pale pale bora kujipa raha mwenyewwYaaan ni mvivuu haswaaa😅 napenda kulala kulikoo chochotee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanuni yenyewe ni uwe mvivu usiwe mvivu kuchepukiwa kuko pale pale bora kujipa raha mwenyewwYaaan ni mvivuu haswaaa😅 napenda kulala kulikoo chochotee
Umeona sasa hawafadhiliki hawaa hata ufanyee acrobatics wakiamua lao wameamuaa😅😅Kanuni yenyewe ni uwe mvivu usiwe mvivu kuchepukiwa kuko pale pale bora kujipa raha mwenyeww
Nakuunga mkono raha zetu kwanza hawana asante watoto wa mama mkweUmeona sasa hawafadhiliki hawaa hata ufanyee acrobatics wakiamua lao wameamuaa😅😅
Wewe sio bikraNi Mungu tu😂
SawaWewe sio bikra
Hata kama ni hivyo sio sababu ya kulemaaAnanielewa mtu wanguu na Hana shida na Mimi😅
Kaongo kaongo.
😄😄😄Toa maoni tusikia ila kama wewe utakuwa wa round moja hayo yatakuwa mateso kwa mwanaume
Hadi wazungu wa Poland wanauelewe uchelewaji huu, British sijui wote tunafurahia kuchelewa tu, binafsi yangu naweza kuchelewa sana na wakati mwingine nisifike kabisa ukumbini 😀Kwenye kilele cha mlima wetu pendwa, kule wazungu wakichelewa kufika ni mubashara sana!
We Ganjibhaai wewe 😄Hadi wazungu wa Poland wanauelewe uchelewaji huu, British sijui wote tunafurahia kuchelewa tu, binafsi yangu naweza kuchelewa sana na wakati mwingine nisifike kabisa ukumbini 😀
Kumbe umri umeenda, ndomaana unataka bao moja.
Niite singa singa 😂We Ganjibhaai wewe 😄
Mwisho wa siku mimi uhitaji wangu ni kukojoa,kwa mke wangu kipaumbele ni mimi nifurahi kwa kukojoa mkojo ambao mtaokeo yake ni watoto.Kwa maelezo haya nakutunuku uenyekiti wa wapiga chafya sema vina raha yake havichakazi chiu
Kwanini kipaumbele chako na mke wako vyote ni kukufurahisha wewe tu.Mwisho wa siku mimi uhitaji wangu ni kukojoa,kwa mke wangu kipaumbele ni mimi nifurahi kwa kukojoa mkojo ambao mtaokeo yake ni watoto.
Sasa km mtu hayuko tayari kufurahi mimi sina sababu ya kumfurahisha bali nifurahi mimi.
Basi tufanye nina 22.Kumbe umri umeenda, ndomaana unataka bao moja.
Kama yuko tayari kufurahi tutafurahishana na kama hayuko tayari basi nitafurahi mimi tu within a minute. Siwezi kutumia nguvu zangu vyiiiingi eti ili nimfurahishe mtu ambaye hana nia ya kufurahi.Kwanini kipaumbele chako na mke wako vyote ni kukufurahisha wewe tu.
Nani ana kipaumbele cha kumfurahisha mkeo?
Huo ni ubinafsi, kama wewe unavyosema mahitaji yako yawe kipaumbele, unatakiwa kufanya pia mahitaji yake kipaumbele kwa kumfanyia vile vitu anapenda kwenye tendo.Kama yuko tayari kufurahi tutafurahishana na kama hayuko tayari basi nitafurahi mimi tu within a minute. Siwezi kutumia nguvu zangu vyiiiingi eti ili nimfurahishe mtu ambaye hana nia ya kufurahi.
Basi tufanye nina 22.
Sasa mtu gani ana miumri miwili miwili.Basi tufanye nina 22.
Mtu mimiSasa mtu gani ana miumri miwili miwili.
Ni kwamba,kama mwanamke anahitaji kufurahi na yuko tayari ni jambo la kugusa mwili wake tu,tayari anakupa mrejesho sahihi na wala haimchukui dakika tano kufika huko Mawenzi.Huo ni ubinafsi, kama wewe unavyosema mahitaji yako yawe kipaumbele, unatakiwa kufanya pia mahitaji yake kipaumbele kwa kumfanyia vile vitu anapenda kwenye tendo.
Anyway, mapenzi ya ndoa hayashaurikagi, endelea kufurahi vile unavyojua wewe, muda utakuonyesha kitu!