Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Sijawahi kunywa pombe halafu sijisikii kujaribu.

Ila bangi ni nitavuta tu hata nikiwa natembelea mkongojo. Nikizipata tu nawasha gari.
Sikuwai vuta bangi ila niliwai onja ladha yake,,, NAKUMBUKA KIPINDI NIPO BODA ya Tanga na Mombasa pale Horohoro nliopoa manzi flani wa kidigo mixer na Mduruma,, laikuwa analipuliza aiseeeh ile kula romance nikapata radha flani iviii,, kuja kuchek vizuri kumbe alitoka kustua, manzi mzuri lakini mmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ntakuja Mwanza week ijayo. Tuonane.

Sent using my Nokia Torch
 
Hahaaaa
Kuna mmoja baada ya kulewa chakari aliwasha gari kuja kushtuka yupo Dakawa badala ya kwenda SUA[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…