Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Noma sana, environment iko poa sana.

Bei za vinywaji ndo tabu.

Kuna chupa ya Jack Daniels mtaani tunapata kwa 55-60, wao wanaiuza 200+.

Kwa hiyo ni lazima uwe umejipanga hasa.

Toka Magu aingie nimefika mara 5 tu kule, wakati miezi miwili ilikuwa haiishi.
Yale maeneo noma!

Hata mtu akikuona maeneo yale anahisi unazo[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nini kipya? Niliacha barabara ya aiport inajengwa wameichimba chimba mpaka Pasiansi kule...na ile flyover pale Rock City Mall iko mwisho mwisho. What else?

Sent using my Nokia Torch
Road ishaisha, flyover ya watembea kwa miguu ishaisha,, siku hizi sio mtembez sanaa kama zaman, machimbo mapya yapo ila sana sana yanaboreshwa yale ya zaman,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila weekend ( napenda sana siku ya j'pili coz hamna foleni barabarani) nawachukua mashost hao ledger plaza njiani mziki mkubwa unaona maisha ndo haya[emoji16]...yale maeneo si unajua ukiingia ndani utafikiri uko Beverly Hills, mi nakunywa wine ( 30,000) mashost windoek @Tsh 8,500...hahaahaa almanusura nifilisike mle, nikapakimbia nikarudi uswahilini na company nao ya bata nikaipiga chini, [emoji1787][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wafaa..!![emoji855][emoji855]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom