[emoji16][emoji16][emoji1787]...Bata la pale sio la mchezo!
Sister angu anaendaga pale kuzuga tuu hata soda hanunui, ila anachukua na mipicha kama Mimi tu ...kipindi cha mkwere kulikuwa sebuleni kwake pale!
We acha tu stone kayatinganya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahudumu wa pale ni kwikwi na ule msosi usipime....zile cottages zao sasa si ndo mpango mzima!Na kuna wahudumu wazuri si mchezo, wana zile cottages zao ni shida, kuna kipindi sijui yule mtoto alitoa wapi hela, tulikaa siku 5, ilikuwa holidays, duh! Mimi nilichangia nusu ya bei ya rooms, kuna cottages ziko kuelekea baharini ndo tulikuwa tunakaa.
Yale maisha hayarudi tena, msosi wao ni very classic.
Hahahah[emoji16][emoji16][emoji1787]...Bata la pale sio la mchezo!
Sister angu anaendaga pale kuzuga tuu hata soda hanunui, ila anachukua clips na mipicha kama Mimi tu ...kipindi cha mkwere kulikuwa sebuleni kwake pale!
We acha tu stone kayatinganya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahudumu wa pale ni kwikwi na ule msosi usipime....zile cottages zao sasa si ndo mpango mzima!
Ile swimming pool na counter ya stimu iko pale pale huku unaogelea huku unapiga sips dunia yako!
Afanye kumalizia tennis yard na bembea za watoto turudi kushangaa shangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mpaka nikamuonea huruma afu ananambia ni mwanafunzi akanipa na nambaUmeona mkuu!
Mwanamke ukifikia hatua hii ni mbaya sana!
Kama unaona huna kipato cha ziada kubakiza kula bata, better stop batazz![emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilkaza mzaa nikampasia jamaa yangu sijui walimalizana vipi uko mbele
Well said
Palikufanya nini hapo Ledger Plaza?[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]...Kuna kitu umenikumbusha hapa mbavu sina!
Anyway ledger plaza beach hotel sitapasahau[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo soon atakipata anachokitafuta.Dah pole sanaaa,, nlikuwa na manzi flani kipindi hicho alikuwa mnywaji kushinda mimi,, sasa mm nlitaka asinizidi ktk kunywa basi tunakunywa tunakunywa tunakunywa mida inaenda mwishowe kwa ule uvivu tunaamua kuchukua room basi asubuhi kusaka supu yaaan mwanzo mwanzo nliona sawa kwa kuwa alikuwa mpya mpya yaaan penz moto moto, ila baada ya mwaka mmoja nlimwambia tuache pombe lakini alikataa nikasema kwa style yako hii usitegemee kupata wazuri, rafiki zake wote pombeeeee,,, nashukuru nliachana naye,, namuona tu instagram mara leo CLUB VILLA mara NWANZA HOTEL,, MALAIKA,, Na ameanza kujichora matatoo,, ye full bata,, na anawapanga wanaume wenye pesa ,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha....umenikumbusha kuna siku nimejirecord mle nikamtumia mshkaji wangu yuko West Hollywood Basi mle kwenye clip natiaje " ooh my goodness I can't believe , i landed my bare foot on Beverly hills soil sasa huku nakatisha vile vibarabara vyao kama ile mitaa ya akina Paris Hilton...huo mshangao sasa utafikiri kweli[emoji16] ...saa ngapi jamaa asiamini kweli niko California ha ha ha.....alinisumbua na simu huyo tuonane maana alinambia maskani sio mbali na paleUnavyopataja najikuta napaona upya aisee.
Haya maisha kama una hela raha sana, uzuri kuna swimming pools kibao, hadi za kuweka miguu tu huku unapiga kinywaji mdogo mdogo.
Kuna muhudumu mmoja nilimwelewaga, nikawa mpaka nina mawasiliano naye nje ya pale, alikuwa kuhamia Zanzibar, noma sana.
Nilikuwa weekend naweza kwenda kuangalizia mechi pale, natoka kama nilikuwa Ulaya.
Daah! Njaa mbaya sanaYani mpaka nikamuonea huruma afu ananambia ni mwanafunzi akanipa na namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeh,,, ukamkwepa kwepa hadi akachokaHa ha ha....umenikumbusha kuna siku nimejirecord mle nikamtumia mshkaji wangu yuko West Hollywood Basi mle kwenye clip natiaje " ooh my goodness I can't believe , i landed my bare foot on Beverly hills soil sasa huku nakatisha vile vibarabara vyao kama ile mitaa ya akina Paris Hilton...huo mshangao sasa utafikiri kweli[emoji16] ...saa ngapi jamaa asiamini kweli niko California ha ha ha.....alinisumbua na simu huyo tuonane maana alinambia maskani sio mbali na pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijifanya niko busy huyoo...kwamba Nina project na wazungu flan pale na nina 1 week ya kusubmit kazi then nageuza!
Ilikuwaga mitaa yangu iyo kama hujaingia hotelini kuna njia ya vumbi kuna chimbo moja na kitimoto kwa yule jamaa anayefanyakazi Radio one nikishapiga kitimoto ndio naingia hotelini sasa kuogeleaKila weekend ( napenda sana siku ya j'pili coz hamna foleni barabarani) nawachukua mashost hao ledger plaza njiani mziki mkubwa unaona maisha ndo haya[emoji16]...yale maeneo si unajua ukiingia ndani utafikiri uko Beverly Hills, mi nakunywa wine ( 30,000) mashost windoek @Tsh 8,500...hahaahaa almanusura nifilisike mle, nikapakimbia nikarudi uswahilini na company nao ya bata nikaipiga chini, [emoji1787][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnakunywa mapombe magumu siku hizi kuna serengeti lite tamu balaa unaweza kunywa na uka drive fresh kabisaNimeacha tangu 2016 mwezi October.
2017 August nikanywa chupa 2 za Castle Lager. Ever since sijanywa tena. Na sitaki.
Sent using my Nokia Torch