1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mara ya Mwisho kunywa pombe ilikuwa mwaka 2015.
Jana Nlialikwa ktk kasherehe fulani hivi hapa Rocky City au Wenyewe hupaita Mwanza Mwanza au kwa kina Ngosha,
Story za hapa na pale mara meza ikachafuka mavinywaji kibao,, kila nikisogezewa mizinga mie naitawanya kwa wahusika niliokaa nao mwisho yakaanza maswali "Mbona Kushi hupigi vyombo" nikamwambia long time hizi mambo niliacha, ila Moyoni kuna ka nguvu fulani fulani kananishawishi stua kidogo, ILA NILIKASHINDA,, NAENDELEZA MSIMAMO WANGU.
Ila kuna pipo jana zililewa chakali hadi zikabebwa yaani, nadhani ndo zinajifunza,
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana Nlialikwa ktk kasherehe fulani hivi hapa Rocky City au Wenyewe hupaita Mwanza Mwanza au kwa kina Ngosha,
Story za hapa na pale mara meza ikachafuka mavinywaji kibao,, kila nikisogezewa mizinga mie naitawanya kwa wahusika niliokaa nao mwisho yakaanza maswali "Mbona Kushi hupigi vyombo" nikamwambia long time hizi mambo niliacha, ila Moyoni kuna ka nguvu fulani fulani kananishawishi stua kidogo, ILA NILIKASHINDA,, NAENDELEZA MSIMAMO WANGU.
Ila kuna pipo jana zililewa chakali hadi zikabebwa yaani, nadhani ndo zinajifunza,
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app