Jana mechi ya Chelsea na Man City, Guardiola tena kaonesha ubaguzi hadharani

Jana mechi ya Chelsea na Man City, Guardiola tena kaonesha ubaguzi hadharani

Mzuka Wanajamvi.

Ilikuwa hamna haja ya Pep kumuondoa Doku na kumuweka Grealish.

Wadau hatukupendezwa ukizingatia Doku alicheza vizuri sana. Na angebaki hadi mwisho City wangechukua point zote Tatu.

Hata kumuanzisha Doku tu ilikuwa Zuga. Huyu jamaa ataacha lini ubaguzi?

Herzog mkorea
Mgerasi wangu hujambo?
 
Mzuka Wanajamvi.

Ilikuwa hamna haja ya Pep kumuondoa Doku na kumuweka Grealish.

Wadau hatukupendezwa ukizingatia Doku alicheza vizuri sana. Na angebaki hadi mwisho City wangechukua point zote Tatu.

Hata kumuanzisha Doku tu ilikuwa Zuga. Huyu jamaa ataacha lini ubaguzi?

Herzog mkorea
Yani unatafsiri ubaguzi wa rangi based on substitution?

Uko serious broh?
 
Yani unatafsiri ubaguzi wa rangi based on substitution?

Uko serious broh?
Mkuu hapa jamvi linachangamshwa tu. Natafuta mnyonge tu nimuwin kisaikojia lakini hakuna yeyote anayejitokeza kunitukana basi naumiaa. Yani watu wakinipotezea hivi naumia kichiz lakini nikitukanwa nafurahi nakurukaruka huku niki punch the air violently with jubilation mzuka unapanda balaa.

In short i like how i live My fuckin life.

adriz Chaliifrancisco The Icebreaker raraa reree Mufti kuku The Infinity Glenn
 
Binafsi nahisi Doku alitolewa mchezoni baada Yellow Card aliyopewa kwa kosa la kujiangusha. Huenda Guardiola aliona Doku anaweza asiperform vzuri tena coz kama kaaibishwa flani hivi. Kitendo cha Doku kuanza na kumuach Jack bench tayari hyo ni respect. Pia Grealish anakaba kuliko Doku kwa mechi ile ya jana alifaa kupunguza kasi.
Uzi ufungwe hapa.
 
Mzuka Wanajamvi.

Ilikuwa hamna haja ya Pep kumuondoa Doku na kumuweka Grealish.

Wadau hatukupendezwa ukizingatia Doku alicheza vizuri sana. Na angebaki hadi mwisho City wangechukua point zote Tatu.

Hata kumuanzisha Doku tu ilikuwa Zuga. Huyu jamaa ataacha lini ubaguzi?

Herzog mkorea
Sio kweli kabisa jana doku game ilimshinda halishindwa kabisa kufulukuta mbele ya james. Sub zote za gadiora zilikua tactical hata ile ya kumtoa alvarez kumpeleka uwanjan kovavic ni kwa sababu rodri alikua anapata shida kutuliza mikimbio ya ze bluz peke yake maana partner wake pale kati ni bernado silva ambae sio mkabaji. Yote kwa yote game ilikua tamu sana magoli ya kutosha ingawa man city wamenichania mkeka wangu maana niliwapa win.
 
Mzuka Wanajamvi.

Ilikuwa hamna haja ya Pep kumuondoa Doku na kumuweka Grealish.

Wadau hatukupendezwa ukizingatia Doku alicheza vizuri sana. Na angebaki hadi mwisho City wangechukua point zote Tatu.

Hata kumuanzisha Doku tu ilikuwa Zuga. Huyu jamaa ataacha lini ubaguzi?

Herzog mkorea
Watu weusi wakati mwingine tunaendekeza kulia lia tu. Mchezaji kaanzishwa tangu mwanzo iweje umlaumu kocha. Je huyo aliyeingia kipindi cha pili atasemaje? Licha ya hivyo Grealish ni fundi na mtulivu ndani ya 18, Doku papatu nyingi na James alikuwa kamdhibiti vizuri tu.
 
Yule grealish bishoo sana na yule nahisi anacheza mpira na pombe maana ana hasira sana.
 
Binafsi nahisi Doku alitolewa mchezoni baada Yellow Card aliyopewa kwa kosa la kujiangusha. Huenda Guardiola aliona Doku anaweza asiperform vzuri tena coz kama kaaibishwa flani hivi. Kitendo cha Doku kuanza na kumuach Jack bench tayari hyo ni respect. Pia Grealish anakaba kuliko Doku kwa mechi ile ya jana alifaa kupunguza kasi.
Angalau kidogo nimesoma comment ya mtu anayeujua mpira
 
Back
Top Bottom