Jana mechi ya Chelsea na Man City, Guardiola tena kaonesha ubaguzi hadharani

Kwanza Ile hali ya Guadiola kumuamini Doku kwa haraka hivi ni jambo kubwa sana ambalo kimsingi limewashangaza wengi.

Doku ndio kwanza ana umri wa miaka 21 na hajawahi kucheza timu yoyote Ile kubwa ametoka Rennes huko timu ya daraja la Kati(midtable team) Leo amefika Manchester city timu yenye pressure na ubingwa na kuingia kwenye first eleven moja kwa moja huku akimpiga benchi muingereza mzungu Jack Grealish halo sio jambo dogo eti... Yaani mpaka nashangaa watu kama huyu mleta mada hizi nguvu za kum accuse Pep kuwa ni mbaguzi wanapata wapi? Sijui ni ujinga tu una msumbua

Unajua wengi tulitarajia huyu Doku angalau atspend hata msimu mmoja akitokea bench Kisha ndio aje awe regular starter baada ya kutoa Etihad... Lakini Pep kamuamini hivyo hivyo pamoja na kwanza Bado hana experience yoyote kwenye miki miki ya EPL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…