Jana na leo alfajiri nimeota ndoto zimenistaajabisha kidogo

Jana na leo alfajiri nimeota ndoto zimenistaajabisha kidogo

ora

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
1,198
Reaction score
1,126
habari waungwana!

Jana na leo alfajiri nimeota ndoto zimenistaajabisha kidogo,

Jana nimeota kua nimesingiziwa kuwa na mahusiano na mwanaume ambae sikumtambua kwa sura, basi ikawa kama nimefumaniwa yaani nikadhalilishwa (sio kuvuliwa nguo lakini wala kupigwa) ilikua tu kusanyiko la watu wananizomea..

Basi kuna msichana jirani yetu na mdogo wake wa kiume wakanichukua wakanirudisha nyumbani nikalia sana kilio cha majuto ,yaani nikalia haswa..

Baada ya hapo nikaamka(nikapotezea)

Sasa leo alfajiri tena nmeota nmesingiziwa kuiba kwenye duka flani hivi la vipodozi
(sina tabia ya wizi), basi wakanidhalilisha kama ndoto iliyopita alafu msichana yule yule niliemuota jana akaja kunitoa tena twende home lakini leo badala ya kulia, tukacheka sana yaani, baada ya hapo nikaamka!

Sielewi maana ya hizi ndoto!
Je kuna tatizo juu yake au ni kawaida tu???
wajuzi msaada..
 
U see how God love his people!

Km ww ni mkristo najua utakua unajua jinsi ya kuomba,pangua kila kinachoendelea ktk ulumwengu wa roho,coz hicho umeonyeshwa ili uombe bt usipochukua hatua ya kuomba trust mi kitatokea km kilivyo,au kwa namna nyingine lkn something bad!


Unaona imerudia hiyo ndoto Mungu ameweka msisitizo hapo,
soma,Ayubu 33:14-18
Uone Mungu anasema nn kuhusu ndoto,na huwa anarudia.....
 
U see how God love his people!

Km ww ni mkristo najua utakua unajua jinsi ya kuomba,pangua kila kinachoendelea ktk ulumwengu wa roho,coz hicho umeonyeshwa ili uombe bt usipochukua hatua ya kuomba trust mi kitatokea km kilivyo,au kwa namna nyingine lkn something bad!


Unaona imerudia hiyo ndoto Mungu ameweka msisitizo hapo,
soma,Ayubu 33:14-18
Uone Mungu anasema nn kuhusu ndoto,na huwa anarudia.....
[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]kwahiyo niombe sana!
ngoja nikazane
 
Hicho ulichokiota ni kati ya vitu vya kawaida sana kuongelewa na wanawake pindi wakaapo vibarazani,
sasa inawezekana mlishawahi kujadili siku nyingi zilizopita vitu kama hivyo ulivyoviota jana,
na kawaida ndoto huwa ni vile vitu ulivyoviwaza au ulivyowahi kukumbana navyo siku zilizopita,....
UMENIELEWA ora ?
 
Hicho ulichokiota ni kati ya vitu vya kawaida sana kuongelewa na wanawake pindi wakaapo vibarazani,
sasa inawezekana mlishawahi kujadili siku nyingi zilizopita vitu kama hivyo ulivyoviota jana,
na kawaida ndoto huwa ni vile vitu ulivyoviwaza au ulivyowahi kukumbana navyo siku zilizopita,....
UMENIELEWA ora ?
nmekuelewa ila tatizo ni kujirudi nikiwa na mtu huyo huyo ambae sina mazoea nae sana
kw matukio hayo hayo mawili ya kucheka sana/ na kulia sana yani kwa kujuta
na nikiwa katika hali ya kudhalilika!!!
ndo mana nmeshtuka
 
nmekuelewa ila tatizo ni kujirudi nikiwa na mtu huyo huyo ambae sina mazoea nae sana
kw matukio hayo hayo mawili ya kucheka sana/ na kulia sana yani kwa kujuta
na nikiwa katika hali ya kudhalilika!!!
ndo mana nmeshtuka

huyo jamaa anakuwazaga sana kabla hajalala afu anatamn awe beneti sana nawewe kam ni washkaji basi wote kiroho mmeendana kiasi kwamba it is easy for you two kusaidian
 
huyo jamaa anakuwazaga sana kabla hajalala afu anatamn awe beneti sana nawewe kam ni washkaji basi wote kiroho mmeendana kiasi kwamba it is easy for you two kusaidian
mimi mwanammke
na huyu ni msichana anasoma form5 jirani yetu...
 
mimi mwanammke
na huyu ni msichana anasoma form5 jirani yetu...
Achana na kuliendekeza sana hili jambo juc move onn fanya mambo yako kwa kujiamini bhana.
Ndoto ni hali ya mwili kuondokaba na msongo wa mawazo na stress ba ndo njia salama ya kumfanya mwanadamu kuziondoa past event zilizokuwa zina muumiza.
Naamini umenielewa
ONYO.
UKiyaendekeza unayoota utakuwa ni mtu unayeishi kwa hofu na mashaka pia kuba uwezo mkubwa wa kutofanikiwa
 
Achana na kuliendekeza sana hili jambo juc move onn fanya mambo yako kwa kujiamini bhana.
Ndoto ni hali ya mwili kuondokaba na msongo wa mawazo na stress ba ndo njia salama ya kumfanya mwanadamu kuziondoa past event zilizokuwa zina muumiza.
Naamini umenielewa
ONYO.
UKiyaendekeza unayoota utakuwa ni mtu unayeishi kwa hofu na mashaka pia kuba uwezo mkubwa wa kutofanikiwa
asante kwa ushauri
 
Yawezekana Ina maana au la kwa uhakika likabidhi kwa Mungu kwa njia ya maombi apangue lolote baya na aimarishe yaliyo mema
 
Wanasema ukiota ndoto zinazofanana mara mbili.. hilo jambo limedhibitishwa kutokea.. Muombe Mungu rehema zake ili uliyoyaota yakuepuke.. kama kuna kitu umekosea omba toba then omba tafsiri ya hizo ndoto then omba uepushwe au upewe hekima jambo hilo likitokea..
 
Achana na kuliendekeza sana hili jambo juc move onn fanya mambo yako kwa kujiamini bhana.
Ndoto ni hali ya mwili kuondokaba na msongo wa mawazo na stress ba ndo njia salama ya kumfanya mwanadamu kuziondoa past event zilizokuwa zina muumiza.
Naamini umenielewa
ONYO.
UKiyaendekeza unayoota utakuwa ni mtu unayeishi kwa hofu na mashaka pia kuba uwezo mkubwa wa kutofanikiwa
Nakushauri usimsikilize huyu.. zipo ndoto unazoweza kuupuza na zipo ambazo huwezi.. utajuaje ndoto ni ya kuupuza?? Kwanza je umeiota mara ngapi.. I mean je hilo tukio uliloliota limejirudia, hata kufanana?? Kama ndiyo, hiyo siyo ndoto ya kuupuza.

Pili.. ulivyoamka ulijisikiaje..?? Kama umeota ndoto na asubuhi umeamka unajisikia vibaya.. hapo sio pa kupuuza..

Tunaota ndoto Mara nyingi tu.. na asubuhi hatuzikumbuki au wala hatuhisi chochote hapo tunaweza kuzipuuza..

Lakini kuota ndoto inayojirudia mara mbili na pia ikagusa hisia zako iwe kwa huzuni au furaha... Sio jambo la kupuuza.

Tafuta mafundisho ya Mwakasege utaelewa vizuri..
 
Back
Top Bottom