Jana na leo alfajiri nimeota ndoto zimenistaajabisha kidogo

Jana na leo alfajiri nimeota ndoto zimenistaajabisha kidogo

Hiyo ni ndoto moja, na kuota Mara mbili inamaana lazima itokee na itatokea mapema, ya maana kwamba utafanya kosa Fulani na huyo MTU unayemchukia ndiye atakayekuokoa, hivyo basi kama kuna MTU una ugomvi naye na unamchukia tafadhali rudisha upendo kwake kwani wenye msaada kwako ni ni hao/huyo unayemchukia, haimaanishi uliyemuota ndo huyo.
 
huyo jamaa anakuwazaga sana kabla hajalala afu anatamn awe beneti sana nawewe kam ni washkaji basi wote kiroho mmeendana kiasi kwamba it is easy for you two kusaidian
Au mnamfanyia mixemixe awe shemeji yenu. Haha
 
Hiyo ni ndoto moja, na kuota Mara mbili inamaana lazima itokee na itatokea mapema, ya maana kwamba utafanya kosa Fulani na huyo MTU unayemchukia ndiye atakayekuokoa, hivyo basi kama kuna MTU una ugomvi naye na unamchukia tafadhali rudisha upendo kwake kwani wenye msaada kwako ni ni hao/huyo unayemchukia, haimaanishi uliyemuota ndo huyo.
asante kwa kunielewesha
mashukuru sana
 
Wanasema ukiota ndoto zinazofanana mara mbili.. hilo jambo limedhibitishwa kutokea.. Muombe Mungu rehema zake ili uliyoyaota yakuepuke.. kama kuna kitu umekosea omba toba then omba tafsiri ya hizo ndoto then omba uepushwe au upewe hekima jambo hilo likitokea..
naomba aniepushe sana
 
[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]kwahiyo niombe sana!
ngoja nikazane

Ndio omba kwa kupangua hilo jambo baya lisitokee coz bado lio ktk ulimwengu wa roho
 
Wanasema ukiota ndoto zinazofanana mara mbili.. hilo jambo limedhibitishwa kutokea.. Muombe Mungu rehema zake ili uliyoyaota yakuepuke.. kama kuna kitu umekosea omba toba then omba tafsiri ya hizo ndoto then omba uepushwe au upewe hekima jambo hilo likitokea..

Ayubu 33-14-17
 
Usipuuze ndoto. kama una mda nenda utube msikilze Mwakasege katika semina zake za hivi karibuni Mwanza nadhani ni mwezi jana tu, ameelezea sana kuhusu ndoto.

Mungu hutumia ndoto kuongea na wewe au kukuonya na shetani pia hutumia ndoto kukupotosha.

kwa hiyo unapaswa kujua ndoto yako.

pia kuna ndoto kutokana na mazingira tu
 
Achana na kuliendekeza sana hili jambo juc move onn fanya mambo yako kwa kujiamini bhana.
Ndoto ni hali ya mwili kuondokaba na msongo wa mawazo na stress ba ndo njia salama ya kumfanya mwanadamu kuziondoa past event zilizokuwa zina muumiza.
Naamini umenielewa
ONYO.
UKiyaendekeza unayoota utakuwa ni mtu unayeishi kwa hofu na mashaka pia kuba uwezo mkubwa wa kutofanikiwa

Mi niliwahi muota ndugu yangu mmoja ambae hatupo karibu nae. Na wala sijamuona tangu mwaka 1998...niliota tomekaa nae sehem karibu na tank la Choo, mala Choo kikaanza kutitia na kurusha kinyesi, Mimi nilikua najaribu kukwepa ila yeye akawa ananisukumia kwenye kinyesi, mumewe akatokea na kunimimia maji ninawe, kabla sijapokea maji huyo ndugu yangu akayapush hayo maji kwa maana nisipate kunawa. Huwezi amini ila nilifunga siku 3 na kuomba sana, niliogopa kwakweli.
 
Mi niliwahi muota ndugu yangu mmoja ambae hatupo karibu nae. Na wala sijamuona tangu mwaka 1998...niliota tomekaa nae sehem karibu na tank la Choo, mala Choo kikaanza kutitia na kurusha kinyesi, Mimi nilikua najaribu kukwepa ila yeye akawa ananisukumia kwenye kinyesi, mumewe akatokea na kunimimia maji ninawe, kabla sijapokea maji huyo ndugu yangu akayapush hayo maji kwa maana nisipate kunawa. Huwezi amini ila nilifunga siku 3 na kuomba sana, niliogopa kwakweli.
jamani sasa ikawaje
 
Kuna jambo baya litakutokea hivi karibuni ila kuna mtu ambae hamjuani/hamuelewani atakuokoa kutoka kwenye janga hilo na utakuwa mwanzo wa urafiki mpya!
 
jamani sasa ikawaje

Nilishtuka toka usingizini, ila niliogopa, nilifunga na kuomba. Baanda ya wiki moja hivi nilimuota tena, nilikua mtoni nachota maji, yeye akawa amesimama pembeni ananitazama kwa huruma sana. Ndoto Kama hizi zinaogopesha japo tunambiwa ndoto ni mambo uliyowaza, unajikuta na maswali mengi mengi. Mi mpaka sasa sijui tafsiri ya ndoto
 
Back
Top Bottom