Jana: Nigeria 1-2 Rwanda, Ghana 1-2 Niger Kwanini mnakuwa wazito kuamini Tanzania anashinda leo

Hapana wengi tutafurahi hao wa siasani huwezi kuwazuia hata pale kariakoo wanashukuru mama
Wafungwe tu muhimu wachezaji wetu wa simba wasipate majeraha tu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hao wengine lolote liwakute tu.
 
Hao wote jana walikuwa wakamilisha ratiba tu hawana cha kupoteza ila leo TZ vs GUINEA wote wanatafuta kufuzu nd mana wasiwasi upo
Hii ndio mechi yenye top scorer wa haya mashindano mtu anayemsumbua Joshua Kimich na Kim pale Bayern
Oyah mi nimekuja kumuangalia mwamba Guirasy na Bacca
 
Stars ipingwe tena nyingi sana maana kuna panya wapo mashimoni wanachungulia ili ikishinda waanze kumshukuru mama. Chawa wanakuwa na kuenea kwa kasi ya ajabu
 
Wafungwe tu muhimu wachezaji wetu wa simba wasipate majeraha tu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hao wengine lolote liwakute tu.
Hii game tunashinda Guinea hamna kitu na jua liko la utosi watavuta pumzi ya gas
 
Hao walikuwa wanskamilisha ratiba tu
 
Stars ipingwe tena nyingi sana maana kuna panya wapo mashimoni wanachungulia ili ikishinda waanze kumshukuru mama. Chawa wanakuwa na kuenea kwa kasi ya ajabu
Tunashinda 2-0 hii mechi yetu kabisa
Duo ya Msuva na Samata inataka kuweka rekodi ya kwenda 3 Afcon
 
Nigeria alikuwa anakamilisha ratiba,hushangai amefungwa na bado anaongoza kundi?? Kuhusu ghana pale kwa sasa hawana timu karibu mechi zao zote ipo amepoteza,stars havukiiiiii nimekaa paleeeee.
Kwahiyo leo unataka kuniambia Botswana atapata matokeo kwa Egypt simply kwasabu Egypt kafuzu tayari.
 
Hii timu hi kosa kuamini itashinda! Ndio inafugwa. So for now let us assume inafungwa tu, ili tupate matokeo tofauti.

Lazima tupigwe tu hakuna namna.
 
Hata kwny matamasha ya Simba na Yanga samia alitafutiwa jukwaa la kusalimu washabiki kwa simu..

Yeye, Mpango, na Rc chalamila

Stars iwe mbuzi wa kafara
 
Kwahiyo leo unataka kuniambia Botswana atapata matokeo kwa Egypt simply kwasabu Egypt kafuzu tayari.
Inawezekana,ukitaka kuamini angali kwenye line up kama utamuona mo salaa leo
Alikaa sawa,je ulicheki kikosi chao vzr??uliwaona mastaa wao akiwemo guirassy??game mbili za mwanzo walipuuzia ila walivyoona jahazi linatka kuzama fasta wakaita mastaa wao waje kuokoa jahazi,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ