Jana nimefanya risk ya kipuuzi sana

Jana nimefanya risk ya kipuuzi sana

Ulitumia kondomu ,...mademu wa udsm wanaokaa mabibo hostel wan UTI ,baada ya week mbili basi utakuwa una fungus + UTI
Aisee hakuna kitu sipendi kama hayo madude.

Yakikupata Yale konki utajuta kuzaliwa.

Na siku hizi mabinti wengi sana Wana haya matakataks mwilini mwao.

Na wanaishi nayo bila wao wenyewe kujua.

Sasa kwakuwa sisi miili yetu Iko sensitive yakikupata tu chap!!! Chamoto unaanza kukiona.

Utasali sala zote Israel mtoa roho asikuchukue.

Nashauri usitembelee Ringi hata kama demu ni mzuri kama Beyonce au Rihanna.

Ndomu iwe sera Yako ipende ndomu Yako. Itakuwa na mengi na tabu za uzinzi[emoji1787]
 
Mkuu kasema demu huyo ni kutoka MAGU hostel mkuu! Lakini wote ni walewale, sio Magu, sio Mabibo, sio Halls!
Ila Mabibo ni firefire, zile rooms wanachakatana sana, wengine kwenye ule uwanja wa football!

Nilichakata scholar mwenzangu hapo MABIBO nikaugua fangasi sugu kwenye Pmbz, zilikuja pona after 4 months
Hahahahah kudadeki. Aisee

Kuna dawa Fulani Inaitwa Whitfield ni kiboko ya fangasi zote ila Sasa ukiipataka chamoto utakipata kwenye hizo MbUpU inawasha kishenzi utadhani MbUpU zinachemshwa kwenye maji ya moto.

Uzinzi tabu sana.
 
Aisee abdalah kichwa panzi akisimama akili inapotea

Jana usiku saa sita kasoro nilikuwa nacheki series moja sebuleni wife akiwa amelala chumbani. Saa sita kamili nikawa naview status za whatsap kuna binti mmoja wa chuo nimemfukuzia kitambo sana akawa anachomoa(kiukweli huyu binti ni mzuri kiwango cha uzuri wa kutosha kwa vigezo vyote). Alishanikataa kitambo so tulibaki kuview status tu amna mtu ana time na mwenzie. Nikaona kapost birthday yake imefika nika-reply pale kwa kumu-wish.

Tukajikuta tunaanza kuchart. Tumeachart we mpaka tukajikuta tunahamia kuchart mambo ya sex. Tukaingia kutumiana emoj hizi za sex tukiendelea kuchart mambo ya mapenzi kwa undani sana. Demu akaanza kulalamika namtesa na bwanake yuko mbali. Nikamtania tu " zikizidi usijali naweza kuzitoa". Tumechart mpaka tukafika sehemu akasema amezidiwa hawezi kulala vile atateseka

Nikamuuliza nije kukufata akakubali. Nilidhani utani nikauliza mara ya pili akajibu " naingia kuoga njoo unichukue" Kwangu ni mbali kidogo(nje ya mji). Nikapiga akili kutoka na gari wife atasikia inawashwa na me sina sababu yoyote ya kumwambia natoka. Nikatoka kimya kimya nikaita boda nayemtumia mtaani speed kwenda Sinza . Nikampigia ubber nayemjua nikampa maelekezo tukutane Mwenge. Hao moja kwa moja tukafika hostel ya Magu nikakuta mtoto yuko tayari nikamchukua nikampeleka chimbo. Nikapiga game bao zangu mbili. Saa 9 yuko bafuni anaoga akili ndio ikarudi sasa nikakumbuka wife itakuwaje. Kucheki simu wife hajaingia online nikajua huyu hajaamka. Fasta nikarequest ubber nikamwambia yule binti nashuka chini kdg narud(nikaona bora nikosane na huyu demu na sio wife) Nikasepa home

Nimefika nakuta TV inaongea nikajua hajaamka nikanyata na kuzama ndani kimya. Nikaingia toilet public mlango ukapiga kelele wife ndio anaamka kuja kucheki niko toilet" wewe leo hulali?" Nikajibu tu " series ya leo ilikuwa [emoji91][emoji91]" akaondoka.

Nilichoshangaa wife akiniacha sebuleni saa tano au sita lazima ashtuke aje kuniomba nikalale but jana sijui imekuwaje akalala bila kushtuka! Angeshtuka sijui ningejielezaje? Hakuna mechi nimewahi kwenda kuangalia saa tisa usiku/ mimi sinywi so sina kampani kusema nitatoka usiku. Yaani sina sababu yoyote ile ya kutoka usiku! Sijui ningejuelezaje!? Nahisi sahizi angekuwa ashabeba mabegi amefika kwao.

Abdalah kichwa hafai! Akiamka akili zote hupotea
Naam naam naam
 
Hii story imefanana na yangu wiki hiihii.
Kuna siku nilikuwa na ugwadu wa kugonga nje. Asa huwa Nina madem wengi tu wa kutosha.
Nkawatumia sms Kama wa5 ivi za kufanana. Waka respond 3. Wawili kati yao wakawa hawana bafas. Mmoja akatiki. Shida Ni wa Kijiji jiran, mbali kidogo.
Mda huo nna pkpk, helmet Sina ipo home. Na nikienda hom hawezi nielewa kutoka.
Nikarudi hom kinyonge. Maana siwez kwenda bila helmet.
Kufika home mlango uliegeshwa bila komeo la ndani. Kuepusha usumbufu wa kunifungulia. Kuingia ndani, wife anauchapa usingizi Wala hana habar.
Bahati iliojee..
Nilichukua helmet faster nikatoka nduki mpaka kwa demu. Nmekaribia ndo nikapiga Sim anifungulie. Nikapiga mshindo mmoja wa nguvu saafi.
Kurudi hom wife hajaamka.
 
Watu mnafukua makaburi [emoji23][emoji23][emoji23] sahiz nimeokoka sina mchepuko kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh mkuu siku nyingine usirudie hatari kwa ndoa ni hayo tu.Je ulimpa pesa yake?
 
Daah Hz mambo zishanikuta Sana , nishapita machakani sa nane usku kisa demu niliyemfukuzia sana tena mke wa mtu , ni nouma
Mie mwenyewe aisee kuna siku nilienda maeneo Usiku saa Tisa kufata K.

hawa ukiendekeza unawez kufa kibudu
 
Hii kitu acha kabisa. niliwahi kumla mke wa mtu chooni kwao mme wake akiwa ndani. na choo kimetazamana na mlango ilikuwa usiku saa 1. na niliingia geti ndani nilivyo mwaga akili ndo zikarudi aise acha kabisa
Hizo risk nazifanya nikishamjua Mume wake yukoje.. Kama mzembe mzembe mbona namtombea Seblen na yeye akiwa kalala ndani.

Ila kuna chata unaona kabisa hapa nachokitafuta ni kifiro
 
Yaani mwanaume mzima unarisk maisha yako dizaini afu unaenda kupiga tuvibao tuwili tu? Yaani uingie gharama zote hizo za kulipia boda,Lodge na kumwachia demu posho afu unapiga bao mbili pekee??

Kweli wanaume tunazidi kupungua kwa Kasi Sana🤔
 
Yaani mwanaume mzima unarisk maisha yako dizaini afu unaenda kupiga tuvibao tuwili tu? Yaani uingie gharama zote hizo za kulipia boda,Lodge na kumwachia demu posho afu unapiga bao mbili pekee??

Kweli wanaume tunazidi kupungua kwa Kasi Sana🤔
 
Aisee abdalah kichwa panzi akisimama akili inapotea

Jana usiku saa sita kasoro nilikuwa nacheki series moja sebuleni wife akiwa amelala chumbani. Saa sita kamili nikawa naview status za whatsap kuna binti mmoja wa chuo nimemfukuzia kitambo sana akawa anachomoa(kiukweli huyu binti ni mzuri kiwango cha uzuri wa kutosha kwa vigezo vyote). Alishanikataa kitambo so tulibaki kuview status tu amna mtu ana time na mwenzie. Nikaona kapost birthday yake imefika nika-reply pale kwa kumu-wish.

Tukajikuta tunaanza kuchart. Tumeachart we mpaka tukajikuta tunahamia kuchart mambo ya sex. Tukaingia kutumiana emoj hizi za sex tukiendelea kuchart mambo ya mapenzi kwa undani sana. Demu akaanza kulalamika namtesa na bwanake yuko mbali. Nikamtania tu " zikizidi usijali naweza kuzitoa". Tumechart mpaka tukafika sehemu akasema amezidiwa hawezi kulala vile atateseka

Nikamuuliza nije kukufata akakubali. Nilidhani utani nikauliza mara ya pili akajibu " naingia kuoga njoo unichukue" Kwangu ni mbali kidogo(nje ya mji). Nikapiga akili kutoka na gari wife atasikia inawashwa na me sina sababu yoyote ya kumwambia natoka. Nikatoka kimya kimya nikaita boda nayemtumia mtaani speed kwenda Sinza . Nikampigia ubber nayemjua nikampa maelekezo tukutane Mwenge. Hao moja kwa moja tukafika hostel ya Magu nikakuta mtoto yuko tayari nikamchukua nikampeleka chimbo. Nikapiga game bao zangu mbili. Saa 9 yuko bafuni anaoga akili ndio ikarudi sasa nikakumbuka wife itakuwaje. Kucheki simu wife hajaingia online nikajua huyu hajaamka. Fasta nikarequest ubber nikamwambia yule binti nashuka chini kdg narud(nikaona bora nikosane na huyu demu na sio wife) Nikasepa home

Nimefika nakuta TV inaongea nikajua hajaamka nikanyata na kuzama ndani kimya. Nikaingia toilet public mlango ukapiga kelele wife ndio anaamka kuja kucheki niko toilet" wewe leo hulali?" Nikajibu tu " series ya leo ilikuwa [emoji91][emoji91]" akaondoka.

Nilichoshangaa wife akiniacha sebuleni saa tano au sita lazima ashtuke aje kuniomba nikalale but jana sijui imekuwaje akalala bila kushtuka! Angeshtuka sijui ningejielezaje? Hakuna mechi nimewahi kwenda kuangalia saa tisa usiku/ mimi sinywi so sina kampani kusema nitatoka usiku. Yaani sina sababu yoyote ile ya kutoka usiku! Sijui ningejuelezaje!? Nahisi sahizi angekuwa ashabeba mabegi amefika kwao.

Abdalah kichwa hafai! Akiamka akili zote hupot
Da usikute ulimpotelea Shemeji cheni ya bandia na yeye kakutolea mapemaaa noti ya bandia.
 
Back
Top Bottom