Jana nimefanya risk ya kipuuzi sana

Jana nimefanya risk ya kipuuzi sana

Shetani alishaandaaga mazingira kitambo sana,kuanzia bodaboda kupatikana muda wowote,ukiwa na pesa kila kitu kinawezekana,nazan shetani ni pesa
Jana mimi mwnywe nimefanya tukio la kibabe sana kweli pesa ni shetani
 
I like this story, una kipaji cha story telling and if this is not s fiction story and it really happened, then you have the powers that makes things happen, ukijitambua kuwa ya have them na ukizichannell vizuri, wewe ni mtu mwingine kabisa!.
Hongera!.
P
Hata Mimi Nina hii nguvu sema sijui jinsi ya kuitumia
 
Hamna kwa sababu hawa si wanajuana itakuaje kimasihara

Kamasihara ni wawe hawajuani ndo mara yao ya kwanza wanaonana na mbunye inaliwa kimasihara dadek
Hapo mwamba aliliwa kimasikhara manake demu ndio alifanya maamuzi.
 
Bro P. Mayalla, hapo umetuacha. Jazia nyama kidogo basi brother.!
P
 
Watu kama nyinyi ndo tunaosikia mmekufa kwenye ajar, mmeanguka bafuni au ghafla tu
 
Yule dogo uliemchukua hua hasomi hizi story zako mzee?? [mention]Mubby777 [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule dogo uliemchukua hua hasomi hizi story zako mzee?? [mention]Mubby777 [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anasoma unahisi anaweza nichoma kwa wife?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom