Jana nimekatwa shilingi 1500 nikinunua umeme baada ya shilingi 1ooo hii 500 imeongezeka lini?

Jana nimekatwa shilingi 1500 nikinunua umeme baada ya shilingi 1ooo hii 500 imeongezeka lini?

Mimi mbona hiyo buku jero nilianza kukatwa tangu mwaka jana,na hii sio kwa mjini tuu hadi vijijini maana jana pia nimenunua umeme wa huko Kijijini wakakata buku jero pia.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Tangu zoezi lianze miaka michache iliyopita nimekuwa nikikatwa elfu moja,lakini jana ikakusanywa 1500 bila maelezo hiyo 500 imeongezekaje.
Sijajua kwenu wakuu imekuaje pia kama mmekutana na ongezeko hilo.Mamlaka husika imeshawahi ongelea ongezeko hilo na hiyo tsh 500 inaenda kumfanyia nini mwananchi,je imekaaje kisheria kuchukua hela ya mtu bila kumfahamisha kuwa kuna hilo ongezeko?
Wajuzi wa mambo wenye uelewa mkubwa ninaomba msaada wenu,maana nilitaka kama mwenezi angekuwa hajapita huku niliko ningetokea kwenye mkutano hawaite wahusika wajieleze maana yeye ndiye anao uwezo wa kufumbua mafumbo now days
Imeanza zamani Sana Tangu mwezi Wa saba mwaka Jana So maybe kama ulikuwa hununuj umeme au ulikuwa na Pesa nyingi kiasi cha kushindwa kujua matumizi
 
Hapo nimeelewa mkuu kweli nakiri sikuwahi kuipata hii maana ni mwezi huu ndio nimeanza kukatwa 1500 mwaka jana ililkuwa tsh 1000
Bajeti ya mwaka wa fedha iliipitisha hii kitu, na watu walilalamika sana kwa ongezeko hili.
 
Let say idadi ya watu 67 millions(according to 2022 census increasd by 2.96%)
Idadi ya makazi(taxable) 12millions
Kiasi kilichoongezwa tzs 500

Kwahiyo
Tzs 500 x 12 million= 6 billions
 
Back
Top Bottom