Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Imeanza zamani Sana Tangu mwezi Wa saba mwaka Jana So maybe kama ulikuwa hununuj umeme au ulikuwa na Pesa nyingi kiasi cha kushindwa kujua matumiziTangu zoezi lianze miaka michache iliyopita nimekuwa nikikatwa elfu moja,lakini jana ikakusanywa 1500 bila maelezo hiyo 500 imeongezekaje.
Sijajua kwenu wakuu imekuaje pia kama mmekutana na ongezeko hilo.Mamlaka husika imeshawahi ongelea ongezeko hilo na hiyo tsh 500 inaenda kumfanyia nini mwananchi,je imekaaje kisheria kuchukua hela ya mtu bila kumfahamisha kuwa kuna hilo ongezeko?
Wajuzi wa mambo wenye uelewa mkubwa ninaomba msaada wenu,maana nilitaka kama mwenezi angekuwa hajapita huku niliko ningetokea kwenye mkutano hawaite wahusika wajieleze maana yeye ndiye anao uwezo wa kufumbua mafumbo now days
Hiyo 1500 imeanza kutumika Kitu kama July 2023Hata mimi nimeona mkuu; debt collected: 1500
Kweli kabisa,maana Mimi tangu mwaka jana wanakata buku jero.Hio buku jero ni toka mwezi wa 7 inakatwa hivyo, ni wew tu ulikuwa haupo makini
Bajeti ya mwaka wa fedha iliipitisha hii kitu, na watu walilalamika sana kwa ongezeko hili.Hapo nimeelewa mkuu kweli nakiri sikuwahi kuipata hii maana ni mwezi huu ndio nimeanza kukatwa 1500 mwaka jana ililkuwa tsh 1000