Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du hapo hata km 8 haifiki acha uvivu , nduruma east Africa mpaka by pass ngatamtoni hata km 30 haifiki unapaswa kutembea ndani ya saa 4 umetoboa . Huyu ndugu yetu alikuwa anatambaaSitasahau siku nimetaka nitembee kwa mguu kutoka arusha mjini mpaka kisongo
Nilipadharau nikahis nipafupi sana ila kilichonikuta sitasahau
Kwanza kutoka mjini mpaka kufika airport habari nilikuwa nimeshaipata
Umeshaambiwa huna mazoezi akili hapo zinaingiaje,moron au unataka matusi
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Maelfu ya kilometa unayajua kweli mkuu?Watu wa mkoani wanaweza
Huoni wasukuma wanatoka mkoa Hadi mkoa na mifugo maelfu ya kilometer?
Usirudie tenaKuna siku nikajitoa ufahamu bwana nikatoka Arusha kilombero eti niende adi Moshi Kwa baiskeli nilifikaga adi kia nikapanda Costa kurudi zangu
Nilifatilia baadae nikagundua ni km 13Du hapo hata km 8 haifiki acha uvivu , nduruma east Africa mpaka by pass ngatamtoni hata km 30 haifiki unapaswa kutembea ndani ya saa 4 umetoboa . Huyu ndugu yetu alikuwa anatambaa
Kwani mumeo alikuwa akikata makilometa kuelekea wapi?🤣🤣🤣 Kuelekea wapi?
Kwani mumeo alikuwa akikata makilometa kuelekea wapi?🤣🤣🤣 Kuelekea wapi?
🤣🤣🤣🤣Jamani🤭Kwani mumeo alikuwa akikata makilometa kuelekea wapi?
Kama 25 hiviHivi stendi ya magufuli Hadi posta Kuna km ngapi nijaribu kujenga picha?[emoji848]
Kwani mumeo alikuwa akikata makilometa kuelekea wapi?🤣🤣🤣 Kuelekea wapi?
Mbona wacheka?🤣🤣🤣🤣Jamani🤭
Nguvu za kiume zinatafutwa kwa udi na uvumbaMi naona kama mateso hivi
Ujue mkuu Masaa 9 sio mchezo
Ni almost siku nzima unatembea nonstop
NooKilometer 38
Wewe ni mvivu. Ukifanikiwa tu kufika Burka SDA kanisani basi Airport hii hapa. Mimi trip za Ilboru shuleni hadi Mbauda-JR nimezifanya mno.Sitasahau siku nimetaka nitembee kwa mguu kutoka arusha mjini mpaka kisongo
Nilipadharau nikahis nipafupi sana ila kilichonikuta sitasahau
Kwanza kutoka mjini mpaka kufika airport habari nilikuwa nimeshaipata
Hiyo kibaha sasa. Posta hadi Mbezi hazivuki km 30.Kilometer 38