Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nisome
Kutmbea km 10 ghafala Kama ulikuwa hufanyi zoezi inaweza kusababisha Hilo tatizo.
Inawezekana pia ulikuwa hujavaa proper walking/running shoes...!
Huna mazoeziHuu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Hongera mkuu!Ila yataka Moyo sana ,mimi nikiwa na muda natembea 25km ila siku moja moja ni 16km (8km go and return).
Wale ni professionals wanalipwa kwa kazi hiyo[emoji119][emoji119]Kuna wale jamaa wa kuswaga ng'ombe minadani ndo hatari Sana kwa kutembea kwa mguu.
Ng'ombe wanatolewa Moro Hadi iringa au mbeya kwa mguu pori kwa pori mamia ya kilometer
Unastahili ugali na sukariNilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Hongera mkuu!
Huwa unatumia muda gani kwa km 25?
Nimekumiss tu nikaona nikutaje.... GiLeSI unamkumbuka?Ngoja nisome
6 - 7 hours ni muda mrefu kwa 25k. Jitahidi kupunguza.6-7 hrs ila hizi km 8 ni 90mins.
Namkumbuka sanaaa😂😂😂Nimekumiss tu nikaona nikutaje.... GiLeSI unamkumbuka?
Umeshaambiwa huna mazoezi akili hapo zinaingiaje,moron au unataka matusiTumia akili
Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816