Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Google map inasemaje?Haiwez kua Kweli,
Kimara mwisho Hadi posta ya zaman Kuna 25km
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google map inasemaje?Haiwez kua Kweli,
Kimara mwisho Hadi posta ya zaman Kuna 25km
True, spidi kali hii43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika
Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Hongera sana mkuu. Ninapokuwa na nafasi, huwa nafanya kile ninachokiita WALKING TOUR.Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Mimi nilikimbia km zaidi ya 80 kwa saa 5 mlandizi to Baha moyo mdogo mdogoNilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Ndotoni. SukubishiiMimi nilikimbia km zaidi ya 100 kwa saa 5
Afya mgogoroHuu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Hiyo sio ripoti ya wiki ni mwendo niliotembea jana.Hizo ni results za wiki nzima sio siku kama ailvyo sema.
View attachment 2674921
Mimi steps zangu mpaka mda huu
View attachment 2674922
By-the-way nauza kigari
Unasemaje mkuu hiyo 2015 nenda kaulize mitaa ya ruvu paleNdotoni. Sukubishii
Leo nimeshakata km 6. Wastani wangu kwa siku ni kilometa 15Hizo ni results za wiki nzima sio siku kama ailvyo sema.
View attachment 2674921
Mimi steps zangu mpaka mda huu
View attachment 2674922
By-the-way nauza kigari
Asabte sana mkuuWelldone mkuu, ni vema kujitofautisha na hawa dot.com ambao bado wanalia na viajira uchwara na kukaa kwa mashemeji,kwenda kulala Beach hawawezi!!!,wao kulalama tu humu
Rudi mkuu tupunguze mafutaKm 10 niliku nafuta kwa lisaa limoja na dakika 10 miaka 2 iliyopita hapa kati nimezembea ngoja nirudi road uzi umenihamasisha
Kuchubuka ngozi ya mapumbu kwa msuguano. Nshawahi tembea km 110 kwa masaa 24.Haijavimba niko physique
Hazifiki 38Kilometer 38
Kilometer 38
Kutmbea km 10 ghafala Kama ulikuwa hufanyi zoezi inaweza kusababisha Hilo tatizo.Huu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Unamaanisha? ...!!!Mimi nilikimbia km zaidi ya 80 kwa saa 5 mlandizi to Baha moyo mdogo mdogo
Mpaka leo wewe hua kivuruge .una majibu ya kuchekesha sanaDah, umenikumbusha enzi zangu. Nilikuwa na majibu konki sana, siku hizi umri unanizuia kufanya vitu vingi visivyo na faida
huwa siongei pumba mkuu ukiwa mzembe hauna mazoezi ya mara kwa mara unakuta na nimeona kwa macho yangu .Unamaanisha? ...!!!