Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Nimewahi kutembea km 61 kwa saa 14.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekudanganya nini blaza?Huu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Hauna mazoeziHuu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Huyu alikuwa Bunju akiitafuta B'moyo au Bunju to Mwenge😆Dah! Umetisha Sana mkuu[emoji4]
ulkua wapi? Dar Hii au mkoani?
Jambo jema sana,Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Mna ugomvi?Kwa hiyo tukupe makofi au maua?
Weee ni legelegeHuu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Yani mwenge mara Hadi Morocco ( Airtel ) matata ndio mtu atembee Kwa saa nzima.43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika
Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
[emoji1][emoji1][emoji1]Kwa wanaume wa Dar ni sawa kbs, haishangazi..endeleeni kulegea, walegezaji nao wapo wanajifua zaidi!
Welldone mkuu, ni vema kujitofautisha na hawa dot.com ambao bado wanalia na viajira uchwara na kukaa kwa mashemeji,kwenda kulala Beach hawawezi!!!,wao kulalama tu humuDah, umenikumbusha enzi zangu. Nilikuwa na majibu konki sana, siku hizi umri unanizuia kufanya vitu vingi visivyo na faida
Kwa kutembea possibly maana ake hapo haja kimbia kwa pace ya hata ya 7 kwa hata mita 200. Hapo mwenzetu amekwenda kwa pace ya 12 na zaidi!Yani mwenge mara Hadi Morocco ( Airtel ) matata ndio mtu atembee Kwa saa nzima.
Wanaume wa dar waache kula chips
Daah Kwini mbona siku hizi umechachuka mwanangu🤣🤣🤣Kwa hiyo tukupe makofi au maua?
Jamaa mzembe tu, Kisongo ni pafupi sana[emoji28][emoji28][emoji28]ulijuta
Inawezekana kila siku nakimbia Km 22 kwenda 11 kurudi 11 inabidi uanze kidogo kidogo kisha unaongeza baada ya muda unakua vizuri ila ikitokea umefanya ghafla utaumwa !! Hongera Mzee bujibuji ! Mazoezi yanasaidia sana ! Usisahau pia kuangalia sahani yako ipangilie vizuri
Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Huu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Hizo ni results za wiki nzima sio siku kama ailvyo sema.43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika
Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Haiwez kua Kweli,Almost 24km
Mtoto wa mama haha, ikiwa hufanyi mazoezi ni kweli utaumiaHuu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena