Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

Dah! Umetisha Sana mkuu[emoji4]
ulkua wapi? Dar Hii au mkoani?
Huyu alikuwa Bunju akiitafuta B'moyo au Bunju to Mwenge😆
All in all hongera, isiishie hapo maana viungo vitauma. At least uwe unafanya hivyo kila baada ya siku tatu au week end itapendeza zaidi.
Binadamu tunashauriwa at least utembee kwa mguu dakika 180/3hrs kwa afya bora Kika siku
 
43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika

Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Yani mwenge mara Hadi Morocco ( Airtel ) matata ndio mtu atembee Kwa saa nzima.


Wanaume wa dar waache kula chips
 
Yani mwenge mara Hadi Morocco ( Airtel ) matata ndio mtu atembee Kwa saa nzima.


Wanaume wa dar waache kula chips
Kwa kutembea possibly maana ake hapo haja kimbia kwa pace ya hata ya 7 kwa hata mita 200. Hapo mwenzetu amekwenda kwa pace ya 12 na zaidi!
 
Inawezekana kila siku nakimbia Km 22 kwenda 11 kurudi 11 inabidi uanze kidogo kidogo kisha unaongeza baada ya muda unakua vizuri ila ikitokea umefanya ghafla utaumwa !! Hongera Mzee bujibuji ! Mazoezi yanasaidia sana ! Usisahau pia kuangalia sahani yako ipangilie vizuri
Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816

Huu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena

43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika

Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Hizo ni results za wiki nzima sio siku kama ailvyo sema.

Screenshot_20230701_122116_Samsung Health.jpg

Mimi steps zangu mpaka mda huu
Screenshot_20230701_122031_Samsung Health.jpg

By-the-way nauza kigari
 
Back
Top Bottom