FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kumbe siku hizi Kenyata ni Al shabab!Wewe mbona una kadi yao.
Wewe hujui siasa unachojua ni Udini ningefurahi siku upelekwe Lebanon ukawe khadam hata ukiswali vipi wao wewe kwao ni kijakazi mweusi tu.
Wewe jifanye Mdiini mimi nimezunguka Bara la Arabu karibia Lote kwao mimi hata nikiwa na sjida kama kitumbua ni Abidi Adua laahu.
Hata hadithi sahihi zinasema mwisho wa Uisilamu ni Muhabeshi ndio atakayevunjavunja Kaaba.
Sasa usijifanye kimbelembele saana kwa taarifa yako Wasomali wanaingia Ukristo kwa Makundi haswa Wasomali Wa Somaliland wamemkubali Kristo Mwokozi na kazi Eanayoifanya JAMHURI TUKUFU YA KENYA ni kuhakikisha wanasambaza Gospel Kisimayu
WaKush wametajwa ndani ya Bible mara nyingi tu ila mtu mweusi aliyetajwa Kwenye kuruani ni Bilal al Habshi yaani Bilali Mtumwa wa kihabeshi.lengo la Waarabu no kufuta Historia ya watu Weusi kwenye maandishi
Na wewe dada yangu mishipa inakutoka ukisikia ukweli
Majanga.