Min me amka unatafutwa hukuJana ndugu Shy land ameamua kumpa maua yake ndugu raraa reree
Ila pia tusimsahau ndugu yetu mwingine min -me
Hawa wote ni wazee wa support za likes bila kujali ni nani wala nani.
Leo pia nimpatie maua yake min -me
Hapa chini ni min me akiwa amejituliza baada ya siku nzito ya kupeana likes kwa kila uzi anaokutana nao:
View attachment 3155418
Kazi yao ni kuramba vichwa tu ...Hivi mods kwanini wasiwe wanatoa likes? Inamaana hawafurahii comments zetu?
Wote Bomba!Jana ndugu Shy land ameamua kumpa maua yake ndugu raraa reree
Ila pia tusimsahau ndugu yetu mwingine min -me
Hawa wote ni wazee wa support za likes bila kujali ni nani wala nani.
Leo pia nimpatie maua yake min -me
Hapa chini ni min me akiwa amejituliza baada ya siku nzito ya kupeana likes kwa kila uzi anaokutana nao:
View attachment 3155418
Jana ndugu Shy land ameamua kumpa maua yake ndugu raraa reree
Ila pia tusimsahau ndugu yetu mwingine min -me
Hawa wote ni wazee wa support za likes bila kujali ni nani wala nani.
Leo pia nimpatie maua yake min -me
Hapa chini ni min me akiwa amejituliza baada ya siku nzito ya kupeana likes kwa kila uzi anaokutana nao:
Hata ukipost blank space hawa jamaa lazima walikeJana ndugu Shy land ameamua kumpa maua yake ndugu raraa reree
Ila pia tusimsahau ndugu yetu mwingine min -me
Hawa wote ni wazee wa support za likes bila kujali ni nani wala nani.
Leo pia nimpatie maua yake min -me
Hapa chini ni min me akiwa amejituliza baada ya siku nzito ya kupeana likes kwa kila uzi anaokutana nao:
View attachment 3155418
Huwa namkubali tukiwa tunaisifia gambe 😂😊 wanywa juice 🥤 huwa wanatukomaga..Shida min -me ushua mwingi lakin achukue maua yake
Wana saidia sana, sababu hakuna kitu kinauma kama ukiandaa post yake umetumia muda kuandika halafu hakuna hata mmoja anayekusapoti hata kwa likeHawana baya hawa jamaa min -me na raraa reree wanywe maji hapo walipo .....