Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 hapo mod ni yupi mkuu?Hahaha mods baada ya kuona comment yako
View attachment 3155452
NakubaliiiiiView attachment 3155476 mpumzisheni anaumwa ree Wang
Unanihujumu mkuu hii ni yakoNa kwako pia mkuu
Au n huyo mwenye kidude chekundu shingoni 😂We nitapigwa ban mkuuu 🤣🤣🤣🤣
woga wako ndio umaskin wako mkuumin -me huyu jamaa anataka nisiendelee kufaidi likes zako😁😁😁
Ni kweli roho husuuzika walau kidogo ukiona yupo au wapo watu walioisoma komenti au post yako na kuona inafaa kisha wakakupiga na ka-like pap. Kuliko post/koment yako ikatembea kibubu-bubu mwanzo mwisho.Wana saidia sana, sababu hakuna kitu kinauma kama ukiandaa post yake umetumia muda kuandika halafu hakuna hata mmoja anayekusapoti hata kwa like
Mmmh! Mbona hajakanusha? Yy amesema hataki stress. Mbona unamsemea eti yupo Spain? Si angesema mwenyewe.
Hawezi sema asilaniMmmh! Mbona hajakanusha? Yy amesema hataki stress. Mbona unamsemea eti yupo Spain? Si angesema mwenyewe.
Kumbe nilikudanganya nipo Spain 🇪🇸 dada angu😅😅 kwa kweli mimi ndio huyo hapo nimeona nijitokeze tu😂