Janabi amepandisha sana gharama za matibabu Muhimbili anaenda kuwa mshauri wa Rais? Mnataka Watanzania wafe zaidi?

Vipi kuhusu maboresho yaliyofanyika pale Muhimbili?
 
Ukisikia falsafa ya unyonyaji wananchi kupitia mashirika na taasisi ya umma ndicho kitu kinaendelea tanzania. Hizo ndio R nne. Watumishi hawahitaji uwekezaji binafsi wowote kupata gawio kutoka serikalini. Kinachofanyika ni kuwanyonya wananchi kwenye huduma ambapo serikali imewekeza fedha za umma. Ukichunguza kwa uhakika utakuta vigogo sehemu kama muhimbili kuanzia wakurugenzi mameneja wa vitengo hadi madaktari na wataalam ndio wafaidika na gharama kubwa wanazotozwa umma wa wananchi. Kuna marupurupu ya kutisha nje ya malipo rasmi.
 
Mungu anawaona japo wao hawaamini kama Mungu yupo hata kwenye Siasa !
 
Janabi amekwenda kupima chakula cha Samia wakati huu wa uchaguzi maana CCM Kwa sumu hawajambo
Kama Janabi aliweza kukata moto kwenye betri la pacemaker ya jiwe, basi hashindwi kukata neva ya moyo wa bibi.

Huyu kapelekwa huko ili kutimiza unabii usemao "2025 bibi hatoboi, iwe kwa heri au kwa nongwa"
 
Kama ni kweli ndiye aliyekuwa mfanikishaji wa tukio la Kizalendo la march 17 baasi ASITUANGUSHE kwa hili pia maana hali siyo nzuri kabisa.
 
Huduma nzuri Ina gharama. Msijidanganye kuwa serikali in uwezo wa kutoa huduma za afya kwa zaidi ya huduma ya afya ya msingi.
 
Wamemtoa Muhimbili wanampeleka kwenye siasa, yaani hapa Tanzania mtu akifanya vizuri kwenye kitengo flani wanamyondoa. Kamba ambavyo walimtoa Jerry Silaa kwenye Ardhi.
 
Yaani Janabi ndio anapanga na kuamua bei za matibabu Hospitali ya Muhimbili?
Hivi unafikiri kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
 
Wamemtoa Muhimbili wanampeleka kwenye siasa, yaani hapa Tanzania mtu akifanya vizuri kwenye kitengo flani wanamyondoa. Kamba ambavyo walimtoa Jerry Silaa kwenye Ardhi.
Ametolewa wapi?Mbona mvivu wa kusoma au husomi ukaelewa?
 
Kwani anaenda kutoa ushauri gani
 
Kaongezewa jukumu huko Ikulu. Kwani wewe umesomaje hapo?
Kuongezewa ndio kutolewa.Kafanywa mshauri wa Rais kwenye masuala ya Tiba.Wapi imeandikwa katolewa Muhimbili kama ulivyodai?Shule ulienda kufanya nini?
 
Kwa kweli mimi namsifu janabi, watanzania sio wakuonea huruma watukamue mpaka akili itusogelee huku wengine waendelee kujenga maghorofa.wawekee mikeka ya maanaa wagonjwa hakuna kuremba.watz mnaboa kukumbatia ssm.cheti cha kuzaliwa mtoto sasa hivi 18,000 kutoka 5,000 hakuna kuonea mtu huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…