TheBuilder
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 237
- 212
Habari za siku tele waungwana?
Pasipo kupoteza muda niende kwenye mada.
Siku au miezi kadhaa iliyopita, mwanadada Jane Lowassa alitutangazia kuwa kipindi hicho alikuwa amejikita katika kufunga na kuomba kwa ajili ya Wana Jf kwa mahitaji na matatizo mbali mbali mbali.
Miongoni mwa watu walioomba waombewe ni mimi, sikukaa sana nikasafiri nchi jirani.
Kwa sasa shughuli zangu zinakwenda vizuri na nimerejea niko Dar, hivyo namtafuta Jane nimpe sadaka yangu.
Pasipo kupoteza muda niende kwenye mada.
Siku au miezi kadhaa iliyopita, mwanadada Jane Lowassa alitutangazia kuwa kipindi hicho alikuwa amejikita katika kufunga na kuomba kwa ajili ya Wana Jf kwa mahitaji na matatizo mbali mbali mbali.
Miongoni mwa watu walioomba waombewe ni mimi, sikukaa sana nikasafiri nchi jirani.
Kwa sasa shughuli zangu zinakwenda vizuri na nimerejea niko Dar, hivyo namtafuta Jane nimpe sadaka yangu.