Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hata mimi imebidi nishangae mkuu .. sijui ni lazima tuonekane tunajua hii lugha au vipi
Hata huyo Mange hawafundishi ujinga wa kiwango hiki, yuko smart kwenye English.Utaambiwa ni Kiingereza 'cha kibongo' hicho.
Kama ilivyo 'worry out'.
Hakunaga jina la kiislamu wala la kikristo, wewe umekariri tu.Mkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
Huyo mwenye sifuri kama anapata hedhi mlete kwangu atapata mtoto tu.Mleta mada fafanua kidogo, alipata ujauzito kwa mfumo wa kawaida wa kujamiana na kubeba mimba au ilipandikizwa na madaktari na jee hakuna na "complication" zozote wakati wa ujauzito? Nauliza maana nina dada zangu wa imani umri umeenda na wana uhaba wa watoto mwingi mmoja wengine sifuri kabisa
janety mwenyewe ni muslimMkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
Mkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
Kuna ajabu gani kama muslim ni tawi la kanisa?janety mwenyewe ni muslim
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shkamoo mzaramoMkuu unaweza kutupa tofauti ya umri kati yao?
Mbona wanaonekana kama Mr & Mrs.Madale?
Ni kama zile "My wife wangu au my wife wake" zile dizaini za "Barabara ya nyerere road" au "Bahari ya Indian Ocean" au ndio waving zaidi ya uwajuavyoSingle mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?
Huyu najuaa atakuwa role model wa wema sepetu
Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji
Yaani umri wa kucheza na wajukuu huyo Mzee ndo anacheza na watoto, hapo ni kuwapa tu ndugu kazi ya kusomesha wanaoHivi wema ni mzee kumbe
Kazi kweli kweli,
Ila kuna mzee ana kama 72 halaf ana watoto wadogo wadogo 3
Halaf mzee anapenda mbunye ogopa ila sio dj
Kila kukicha anaoa na kuacha.
Hii ni kwe tu usukumani
Zaidi ya hapo, ukishafikisha miaka 50 hata kizazi hakiwezi kubeba mimba maana stress kibao!!! Mimba inahitaji akili na moyo viwe vimetuliaKwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji
Yaani umri wa kucheza na wajukuu huyo Mzee ndo anacheza na watoto, hapo ni kuwapa tu ndugu kazi ya kusomesha wanao
[emoji26] [emoji26] [emoji26]Kibaya zaid akiamba lekaga aa mambo ga nyoo ng'wana mbate haelewi
Duh amazing eeehhNi kama zile "My wife wangu au my wife wake" zile dizaini za "Barabara ya nyerere road" au "Bahari ya Indian Ocean" au ndio waving zaidi ya uwajuavyo
Single mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?
Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji
Kwani mleta thread aliposhauri kina dada na kaka ambao hawajapata mtoto wavumilie huku akitumia mfano wa Janet Jackson,unahisi huo ushauri amewapa akina dada wa Marekani?Ushachanganya maisha ya marekani na Tanzania tayari..wee sijui vipi aagh