Janet jackson (50) apata mtoto wa kiume

Janet jackson (50) apata mtoto wa kiume

Mkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
Hakunaga jina la kiislamu wala la kikristo, wewe umekariri tu.

Nenda nchi za kiarabu uone wakristo waarabu wanatumia majina gani.
 
Mleta mada fafanua kidogo, alipata ujauzito kwa mfumo wa kawaida wa kujamiana na kubeba mimba au ilipandikizwa na madaktari na jee hakuna na "complication" zozote wakati wa ujauzito? Nauliza maana nina dada zangu wa imani umri umeenda na wana uhaba wa watoto mwingi mmoja wengine sifuri kabisa
Huyo mwenye sifuri kama anapata hedhi mlete kwangu atapata mtoto tu.
 
Marie de carmen alizaa akiwa na miaka 66 tena mapacha hayo mambo yapo ila kwa wachache sio jambo la ajabu
 
Mkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
janety mwenyewe ni muslim
 
Unaogopa unadhani atajilipua?
Mkuu huo uso umekomaa kiutu uzima. Tafadhali usiharibu maana ya neno babby face Hahahaa. Halafu huyo mume mbona ana jina kama la kiislamu hivi
 
Single mother halafu hana mtoto? hiki ni kingereza cha Ras Simba au umejifunza wapi? Unajuwa maana ya Mother?
Ni kama zile "My wife wangu au my wife wake" zile dizaini za "Barabara ya nyerere road" au "Bahari ya Indian Ocean" au ndio waving zaidi ya uwajuavyo
 
Huyu najuaa atakuwa role model wa wema sepetu

Hivi wema ni mzee kumbe

Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji

Kazi kweli kweli,

Ila kuna mzee ana kama 72 halaf ana watoto wadogo wadogo 3

Halaf mzee anapenda mbunye ogopa ila sio dj

Kila kukicha anaoa na kuacha.

Hii ni kwe tu usukumani
 
Hivi wema ni mzee kumbe



Kazi kweli kweli,

Ila kuna mzee ana kama 72 halaf ana watoto wadogo wadogo 3

Halaf mzee anapenda mbunye ogopa ila sio dj

Kila kukicha anaoa na kuacha.

Hii ni kwe tu usukumani
Yaani umri wa kucheza na wajukuu huyo Mzee ndo anacheza na watoto, hapo ni kuwapa tu ndugu kazi ya kusomesha wanao
 
Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji
Zaidi ya hapo, ukishafikisha miaka 50 hata kizazi hakiwezi kubeba mimba maana stress kibao!!! Mimba inahitaji akili na moyo viwe vimetulia
 
Wananimaliza hapa wanaposubiri kuzaa later in life, Halle Berry nae kaanza at 40 something.
 
Kwa sie maskini kuzaa katika umri huo ni kumpa mateso tu mtoto. We fikiria huyo mtoto akifikisha miaka 20 tayari mzazi una 70, hapo mtoto kama hajarudia darasa atakuwa anamaliza kidato cha nne. Sasa kibongo bongo una miaka 70 halafu bado unasomesha ni mtihani sana labda kama umeshawekeza angalau mijengo ili aweze kusoma kwa kodi za wapangaji

Ushachanganya maisha ya marekani na Tanzania tayari..wee sijui vipi aagh
 
Ushachanganya maisha ya marekani na Tanzania tayari..wee sijui vipi aagh
Kwani mleta thread aliposhauri kina dada na kaka ambao hawajapata mtoto wavumilie huku akitumia mfano wa Janet Jackson,unahisi huo ushauri amewapa akina dada wa Marekani?
 
Back
Top Bottom