Janga jingine lamkuta Emmanuel Mbasha, inadaiwa kaficha habari kuhusu mfanyakazi wake aliyejinyonga

Janga jingine lamkuta Emmanuel Mbasha, inadaiwa kaficha habari kuhusu mfanyakazi wake aliyejinyonga

Jamani mmeambiwa polisi walishafahamishwa. Polisi huwa hawachukulii mchezo mambo ya msiba. Kwa hiyo lazima wamechunguza wakaona Hamna wa kumuhunganisha. Kitu gani mnataka. Msizushe habari mpya. Kama mnaona tatizo nendeni polisi mkaulize na si uzushi

Nani sasa aliyezusha??
Labda hujanielewa au vile umeichukua hiyo comment moja kwa moja bila kuona comment yangu ya kwanza.

Maana yangu ni kwamba hayo maswali ndo yalikuwa atleast yana kauzito kuweza kumtia matatani.....and maadam polisi walitoa go ahead basi hakuna janga hapo as I presume yalijibika pasi na utata though si ajabu tukapata habari nyingine iliyo tofauti! (I wonder if I wrote it in a misleading way)

Anyways....ngoja niende polisi nikaulize kama ulivyoshauri. (
 
Binamu asikwambie mtu, HAKUNA UMBEA MTAMU KAMA WA MSIBANI, siku hiyo utajua kila kitu, watu wanajishaua kukesha na kuji keep busy na msiba kumbe hakuna lolote wanataka umbea tu, chezeya , mi ndo navaa niende tabata nikawasikie majiran uko

Misiba ina umbea asikwambie mtu! majirani ni wambea sana kwenye misiba naona Mbasha akaona isiwe tabu akawakaukia.
 
Misiba ina umbea asikwambie mtu! majirani ni wambea sana kwenye misiba naona Mbasha akaona isiwe tabu akawakaukia.

Na vile ana kesi mahakamani.....angetetwaaa hadi angekonda...watani ndo wangemdhihaki live...aliona mbali mkaka wa watu..
 
Na vile ana kesi mahakamani.....angetetwaaa hadi angekonda...watani ndo wangemdhihaki live...aliona mbali mkaka wa watu..

Na alivyokuwa mpole majiran wangemchamba huyo mpak angekoma
 
Kama kweli hayo mambo huyu jamaa mikosi unamuandama sana duuu............au kambaka na huyo pia?
 
Lakiiini hem ngoja kwanza,
Hiyo barua ina maana marehemu alienda kuipost kwanza ndo akajiua?
Kama walikuwa wanaish wawili tu ina maawma ema alikuwa wa kwanza kukuta mwili,ryt?hakuiona hyo barua?

Halaaafu kwan ni lazima aweke msiba?c marehemu ana ndugu?ç walipewa taarifa?pôlice nao c waliambiwa?

Nawaza tu!

Ni wazi kabisa Flora anaendelea kumchafua kwenye mitandao ya kijamii, naungana na wewe habari hii ni ya kutunga na ya kimbea tuu maana inaacha maswali mengi mno.
 
Mbona mnamdhalilisha sana huyu kaka wa watu? Hiyo tittle haijaendana na content.
 
warumi huyu baba kumbe ni shoga mzoefu??? halafu hii habari mbona kama haina kichwa wala masikio haijakamilika?? huyo alietoaujumbe alijuaje na ndani wanaishi wawili au yeye alikuwa ni mpiga chabo wao??
 
Last edited by a moderator:
warumi huyu baba kumbe ni shoga mzoefu??? halafu hii habari mbona kama haina kichwa wala masikio haijakamilika?? huyo alietoaujumbe alijuaje na ndani wanaishi wawili au yeye alikuwa ni mpiga chabo wao??

Binamu dunia haina siri, sasa sijui alichoka marehemu kila siku anabakwa dah, ila tutajua tu, na kwa nini mbasha ahusishwe na tuhuma za kumbaka huyo houseboy?? Apo kuna namna tu sio bure
 
Last edited by a moderator:
warumi shilole kakataa kua mkristo, Nuhu aongeze tatoo labda atakubali kubadiliii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom