warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Hhhhhhhaa,bina nipe power bank moja,umeme huku hakunaaa
Uwii ntakutumia, umbea sharti uwe umekamilika n gadget zote , chezeya mambo ya technology weye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhhhhaa,bina nipe power bank moja,umeme huku hakunaaa
Lakinj kuisema au kuiteta maiti sio vizuri binam ooooh,japo kweli msibanii umbeaa haukosiii na ule kuanza kuchunguzana yule ni nani,kavaaje vile,wakiwa nazo pesa ndio kwanza watu hawaondoki msibaniiiii
Inaonyesha mbasha alikwepa kulisha nzengo
Kila ninapoona ID yako huwa nafananisha na yule daktari wa meno ya tembo Mh Profesa Captain Abdulrahman Kinana.
walijuaje km kuna msiba
wao walijuaje kaacha ujumbe?!!
na kwa mapito ya mbasha bora alivyofanya siri mi simlaumu
cha msingi mamlaka kamili wana taarifa baas
halafu yule ni house boy sio ndugu yake kwao singida
ye msiba hakuwa na haja ya kutangaza km kampeni kawaambia polisi wamesafirsha
na kingine kaepuka bajeti mwenzangu na magharama
hapo ndo hawajaambiwa
Daah eti kaenda kureport polisi, halafu akasafirisha kwenda singida! Yaani polisi wakampa ruhusa au? Hawakuja hata kukagua mazingira ya kifo? Basi huyu Mbasha ni mtu mzito sana hadi yupo juu ya sheria.
Nimechekaje hapo kwenye magharama?
Na hivi misiba imekua kama sherehe kama hujajipanga ni sheeda
Wewe unaejifanya jirani ujulishwe msiba haukuhusu wann.mnafiki mkubwa unajifanya msamaria mwema mnafiki mkubwa.
MMh apa kuna harufu nzito ya uwepo wa GWAJIMA kummaliza emmanuel mbasha kwa namna yeyote na ninahis tu KAMA HUYO KIJANA AJAULIWA SIJUI, apa kuna mchezo mchafu, ila tutajua tu wambea wa mujini, ngoja kwanza
Nimechekaje hapo kwenye magharama?
Na hivi misiba imekua kama sherehe kama hujajipanga ni sheeda
kweli siku hizi misbani shurti ujipure
ukienda rafu unapats haya unakuta mfiwa kauramba hatarii
Wewe unaejifanya jirani ujulishwe msiba haukuhusu wann.mnafiki mkubwa unajifanya msamaria mwema mnafiki mkubwa.
kweli siku hizi misbani shurti ujipure
ukienda rafu unapats haya unakuta mfiwa kauramba hatarii
Mi nilihis tu maana siku izi binamu ukiona mwanaume handsome muogope, bora sura ngumu, kwan binamu msukuma wako n handsome kama mbasha? Usikute florah kakimbia vitu vingi kwa kweli, tutavijua tu
Na miwan juu, watu misiba silu izi wanahangaika kuazima suti na magar maninaa
Na miwan juu, watu misiba silu izi wanahangaika kuazima suti na magar maninaa