Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majanga yanazidi kumuandama aliyekua mme wa muimbaji maarufu Frola Mbasha, akiwa bado ana kesi mahakamani akidaiwa kumbaka ndugu yake hili ndio janga jingine lilimkuta Emmanuel Mbasha. Janga hilo ni la kufariki kwa mfanyakazi wake wa ndani ambae alijinyonga ijumaa iliyopita.
Inadaiwa kua Emmanuel na mfanyakazi huyo walikua wakiishi wawili tu ndani ya nyumba ya Emmanuel, lakini kitu cha kushangaza zaidi ni pale mfanyakazi huyo alipojinyonga.
Inavyosemekana Emmanuel hakutoa taarifa kwa majirani kuhusu tukio hilo badala yake alitoa taarifa polisi na kisha kuusafirisha mwili wa marehemu kwa siri sana kwenda kumzika Singida.
udaku?
Kheeee! Tena wa kiume! Hebu tujuze kidogo juu ya hiyo barua imesema nini.pile zake.
Kheeee! Tena wa kiume! Hebu tujuze kidogo juu ya hiyo barua imesema nini.pile zake.
Another episode in town, sasa hivi tutasahau kipigo cha warioba
Eeh ebu nikae vizur mie maana huu ubuyu ni noumah, nasikia walikuwa wanafirana , ndo tabia yake hata yule shemeji yake nasikia alisema walikuwa wanafirana ndani wakat florah hayupo, khaaa, ni shidaaaa
Apa binamu nimeduwaaa, yani natetemeka, umbea raha jaman, haswa upate umbea exclusive kama huu.
Eeeh....jamani yule mkaka ndo kalaanika hivyo?
Ahahahahh, maombi ya gwajima yanajibu binamu
Eeh huu umbea ni Hooot, aya Dinazarde, Kim nana, Mrembo by Nature, geniveros, Honey Faith, lusungo, Matola, mamaafacebook, sister, matumbo, zavi, ROBERT MICHAEL, BADILI TABIA, qn of sheba ebu piten uku
Hahahaaa si yakucheka lakini kwa comment yako nimejikuta nacheka, mleta mada atakuwa msajili wa vizazi na vifo!