Janga jingine lamkuta Emmanuel Mbasha, inadaiwa kaficha habari kuhusu mfanyakazi wake aliyejinyonga

Janga jingine lamkuta Emmanuel Mbasha, inadaiwa kaficha habari kuhusu mfanyakazi wake aliyejinyonga

Lakiiini hem ngoja kwanza,
Hiyo barua ina maana marehemu alienda kuipost kwanza ndo akajiua?
Kama walikuwa wanaish wawili tu ina maawma ema alikuwa wa kwanza kukuta mwili,ryt?hakuiona hyo barua?

Halaaafu kwan ni lazima aweke msiba?c marehemu ana ndugu?ç walipewa taarifa?pôlice nao c waliambiwa?

Nawaza tu!

Mimi nahisi baada ya kuukuta mwili alichanganyikiwa hata hiyo barua hakuiona...maana nahisi kijana atakua kaacha ujumbe kwa nini kajiua na nahisi pia ema ni mojawapo ya sababu....unadhani angeikuta angesema?si kesi nyingine...hiyo barua watakua wameiona polisi...
 
binamu wabongo wambea sana
tujiulize kitu jirani ndo polisi?
au mzazi?au mjumbe?
uswahili umewaja hao hapo hakuwaambia...
angewaambia si wangetuma picha nk kwenye mitandao
majirani wengine nuksi kweli

Tunazugwa tusahau habari za makonda na warioba polisi wanhekubal mazishi bila kesi aghrrrr
 
binamu wabongo wambea sana
tujiulize kitu jirani ndo polisi?
au mzazi?au mjumbe?
uswahili umewaja hao hapo hakuwaambia...
angewaambia si wangetuma picha nk kwenye mitandao
majirani wengine nuksi kweli

Jamani best....msiba ni jambo la kuficha kweli?si unawaeleza majirani mnasaidiana...umeona wapi msiba wa wanandugu pekee???
Kuna jambo hapo tena zito ndio maana jamaa akafanya siri...lakini kuna siri dunia hii?mbona tumeshajua...
 
Laana hiyo kama kweli alimsingiza gwajima katoka na mke wake wakat sio kweli, basi ndo mapigo hayo yanamfuata

Ila majirani nao wambea, kidizain ni type za akina Dinazarde na warumi, sasa wanataka waambiwe kama mfanyakaz kafa ili iweje? Ndugu si walishaambiwa na polisi?? Mmh ujirani wa kibongo nuksi, bora mie nshatafuta kiwanja bahar beach nikitulia zangu sitak umbea wa majiran

Nlitaka kusema hivyo hivyo...hao majirani nao wambea..Jamaa hajaweka matanga...wanaona wamebaniwa chance ya kupiga umbea....manake watu wanatetana msibani hadi wanajisahau wanaanza kumteta marehemu..utasikia "twende mbele na kurudi nyuma, marehemu alikuwa anaringa lakini...eeh Mungu amrehemu huko aliko"......khaaaa

Umbea raha lakini.. ....
 
Last edited by a moderator:
"Amejinyonga na kuacha ujumbe kuwa kwa yaliyomkuta ameamua bora ajinyonge" Mwisho wa kunukuu!!

1. Emmanuel hakutoa taarifa polisi, na imeandikwa kuwa tukio lilifanywa siri, sasa huyo Jirani aliona vipi huo ujumbe???

2. Mwili pia ulisafirishwa kwa siri, swali langu liko palepale huyo Jirani alipataje kuona ujumbe?

3. Nyie mnaosema tumepata ujumbe ni akina nani?!!
 
Lakiiini hem ngoja kwanza,
Hiyo barua ina maana marehemu alienda kuipost kwanza ndo akajiua?
Kama walikuwa wanaish wawili tu ina maawma ema alikuwa wa kwanza kukuta mwili,ryt?hakuiona hyo barua?

Halaaafu kwan ni lazima aweke msiba?c marehemu ana ndugu?ç walipewa taarifa?pôlice nao c waliambiwa?

Nawaza tu!

Ndo nawashangaa hao majiran akina Dinazarde kila kitu wanataka kuambiwa, ujiran ndo imekuwa kosa kila kitu muambiwe mfyuu na kawakomesha umbea tu
 
Last edited by a moderator:
binamu wabongo wambea sana
tujiulize kitu jirani ndo polisi?
au mzazi?au mjumbe?
uswahili umewaja hao hapo hakuwaambia...
angewaambia si wangetuma picha nk kwenye mitandao
majirani wengine nuksi kweli

Majirani nuksi kwa kweli mhh, yan wanataka kuambiwa kila kitu, wampishe emma wa watu
 
Mimi nahisi baada ya kuukuta mwili alichanganyikiwa hata hiyo barua hakuiona...maana nahisi kijana atakua kaacha ujumbe kwa nini kajiua na nahisi pia ema ni mojawapo ya sababu....unadhani angeikuta angesema?si kesi nyingine...hiyo barua watakua wameiona polisi...

Hiyo barua angeiona warumi na Dinazarde ingekuwa shidaaaaa, emma angehama mji kwa kweli, na wenyew si waipost hyo barua tusome maumbea tujue kijana ni wa kike au wa kiume
 
Last edited by a moderator:
Duuh! Mumempaje mtoa mada za uso??!:boxing:. Msameheni buure maana ana 13 posts (kama ana ID moja tu lakini) Rudi jamvini mwaya ukomae nao ili walau idadi ya post ziongezeke.
 
Jamani best....msiba ni jambo la kuficha kweli?si unawaeleza majirani mnasaidiana...umeona wapi msiba wa wanandugu pekee???
Kuna jambo hapo tena zito ndio maana jamaa akafanya siri...lakini kuna siri dunia hii?mbona tumeshajua...

MSiba mwenzangu sio harusi kusema unaweza kuoa siri siri, ila pia kuna shida, kwa nini asiwaambie majiran kuwa kijana wake wa kazi kafariki au huyo imma na huyo kijana walikuwa wanaishi bila kushirikiana na majirani kwa namna yeyote?? Apa kwa kweli kuna bonge la kiulizo sio sawa, ata kama hapendi UMBEA ila sio kwenye msiba kwa kweli

Ndo najiandaa apa na kundi langu twende uko tabata tukasikilize umbea kwa majirani
 
Nlitaka kusema hivyo hivyo...hao majirani nao wambea..Jamaa hajaweka matanga...wanaona wamebaniwa chance ya kupiga umbea....manake watu wanatetana msibani hadi wanajisahau wanaanza kumteta marehemu..utasikia "twende mbele na kurudi nyuma, marehemu alikuwa anaringa lakini...eeh Mungu amrehemu huko aliko"......khaaaa

Umbea raha lakini.. ....

Binamu asikwambie mtu, HAKUNA UMBEA MTAMU KAMA WA MSIBANI, siku hiyo utajua kila kitu, watu wanajishaua kukesha na kuji keep busy na msiba kumbe hakuna lolote wanataka umbea tu, chezeya , mi ndo navaa niende tabata nikawasikie majiran uko
 
"Amejinyonga na kuacha ujumbe kuwa kwa yaliyomkuta ameamua bora ajinyonge" Mwisho wa kunukuu!!

1. Emmanuel hakutoa taarifa polisi, na imeandikwa kuwa tukio lilifanywa siri, sasa huyo Jirani aliona vipi huo ujumbe???

2. Mwili pia ulisafirishwa kwa siri, swali langu liko palepale huyo Jirani alipataje kuona ujumbe?

3. Nyie mnaosema tumepata ujumbe ni akina nani?!!

MMh apa kuna harufu nzito ya uwepo wa GWAJIMA kummaliza emmanuel mbasha kwa namna yeyote na ninahis tu KAMA HUYO KIJANA AJAULIWA SIJUI, apa kuna mchezo mchafu, ila tutajua tu wambea wa mujini, ngoja kwanza
 
UMBEA wa msibani raha bwana, maana utajua A to Z , utajua kila kitu kuhusu marehemu, mi ndo maana misiba hii uwa sikosi maana najua ntapata maumbea ya kumwaga, hata kama mtu simjui nikisikia tu huo msiba ni wa aina yake au una utata lazima nitie team
 
MSiba mwenzangu sio harusi kusema unaweza kuoa siri siri, ila pia kuna shida, kwa nini asiwaambie majiran kuwa kijana wake wa kazi kafariki au huyo imma na huyo kijana walikuwa wanaishi bila kushirikiana na majirani kwa namna yeyote?? Apa kwa kweli kuna bonge la kiulizo sio sawa, ata kama hapendi UMBEA ila sio kwenye msiba kwa kweli

Ndo najiandaa apa na kundi langu twende uko tabata tukasikilize umbea kwa majirani

Haya nenda tunasubiri habari kamili...umbea ulioshiba..
 
ukipata tatizo ukimbilie kwa jirani? ajabu hii mbona mtu ukienda kukopa kwenye taasisi ya fedha hakuna jirani anelalamika kwa nini hukumkopa yeye? Nyumba iungue moto umpigie simu jirani sio ofisi za fire? Kweli hawa majirani wazuri kweli huku kwetu hawapo.
 
Daah eti kaenda kureport polisi, halafu akasafirisha kwenda singida! Yaani polisi wakampa ruhusa au? Hawakuja hata kukagua mazingira ya kifo? Basi huyu Mbasha ni mtu mzito sana hadi yupo juu ya sheria.
 
Back
Top Bottom