Janga la kitaifa: wakati akina kaka wanalalamikia nguvu akina dada 'mheuko' unazidi!

Janga la kitaifa: wakati akina kaka wanalalamikia nguvu akina dada 'mheuko' unazidi!

Mwanaume kula matunda,mboga mboga,soup na vyakula vya wanga kama ugali vile. Halafu pata dk kadhaa za mazoezi ya viungo pamoja na mazoezi ya misuli inayoshikilia uume ( PC muscles ).
 
Tatzo siku hizi mnakunywa sana mipombe na manyama yasiyo na virutubisho vya msingi.muda si mrefu tutaanza kuwaweka vimada maana shughuli ishawashinda.we mwanamke kamwe usipiganie hizo mashine za wanaume,tafuta mashine moja ya kukoboa,moja ya kusaga na ungo mdogo wa kupepetea.siku hizi hawana nguvu hao ukiwaovadozikidogo tu, mashine zao zinabuma,na wakienda gereji miezi ni mitatu.kama mie nina Firstman,Mr presidaa na King.mmoja anakoboa,mwngne anasaga na mwingne anapepeta.mmoja akienda gereji mwenzie anatumika zaid.wanaleta usharobalo hadi kitandani .hawana issue,tuwapange mafungu tu
 
Mwanaume kula matunda,mboga mboga,soup na vyakula vya wanga kama ugali vile. Halafu pata dk kadhaa za mazoezi ya viungo pamoja na mazoezi ya misuli inayoshikilia uume ( PC muscles ).
Kuna mzee ana kama 68yrs jirani hana mke huwa anakuja na wasichana 20-25 sasa siku 1 wakakutana wawili wakapigana kuulizwa wakadai mzee ni noma kwa bed na kawashinda vijana na wote hawako tayari kumpoteza.Nikasema hizi chips/yai zinatukosesha wanawake na kuwapeleka kwa wazee.
 
Kuna mzee ana kama 68yrs jirani hana mke huwa anakuja na wasichana 20-25 sasa siku 1 wakakutana wawili wakapigana kuulizwa wakadai mzee ni noma kwa bed na kawashinda vijana na wote hawako tayari kumpoteza.Nikasema hizi chips/yai zinatukosesha wanawake na kuwapeleka kwa wazee.

Huyo mzee wa kumtafuta. Yupo maeneo gani?
 
Yes, mimi ni He. Nataka nijue menu anayotumia huyo Mzee ili nami nianze mapema kabla engine haijaanza kusumbua.
Ukirudi nyuma nilisema kuna mze kanishauri kula na kunywa vitu kadhaa basi ni huyo mzee,anakula mihogo ya kuchemsha asubuhi na uji wa ulezi,mchana ugali wa dona na samaki,usiku chapati na supu ya mboga mchanganyiko (vitunguu,nyanya,pilipili hoho,karoti na maharage).
 
Na mara kadhaa nimemuona akitafuta vitunguu saumu na karanga.
 
Mungu atuhurumie na janga hili maana hata tufanye nini hali inazidi kuwa mbaya,nilipata malalamiko ya shemeji zangu kuwa rafiki zangu perfomance imepungua tofauti na zamani,nikajaribu kuzungumza nao na wakajaribu mbinu mbalimbali katika kurejesha hali lakini bado mambo ni magumu kwao kiasi cha kutishia mahusiano yao.
 
Ukirudi nyuma nilisema kuna mze kanishauri kula na kunywa vitu kadhaa basi ni huyo mzee,anakula mihogo ya kuchemsha asubuhi na uji wa ulezi,mchana ugali wa dona na samaki,usiku chapati na supu ya mboga mchanganyiko (vitunguu,nyanya,pilipili hoho,karoti na maharage).

mmmmmm sasa huyo mzee anakula huo mlo sababu ya ngono tu??? anahitaji maombi
 
mmmmmm sasa huyo mzee anakula huo mlo sababu ya ngono tu??? anahitaji maombi
Hapana huu ni mlo wake wa kawaida lakini mzee yuko fit kitandani mpaka wasichana wanatoana ngeu kwa ajili yake.
 
Tatizo sio nguvu za kiume tatizo ni mademu wengi wanatuzidi sasa kwa siku dozi kwa mademu watatu ukirudi home chokest,punguzeni
 
Back
Top Bottom