Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahabaaaAhbeeeee.........huu!Hii sredi kwa wanaume tu eeh?
Ngoja nitoke
Hii sredi kwa wanaume tu eeh?
Ngoja nitoke
HahabaaaAhbeeeee.........huu!
Hivi wewe ni mm! Vere vere!
Usiondoke unaweza kupata elimu ukamsaidia mwenzio pia.
Kuna mzee ana kama 68yrs jirani hana mke huwa anakuja na wasichana 20-25 sasa siku 1 wakakutana wawili wakapigana kuulizwa wakadai mzee ni noma kwa bed na kawashinda vijana na wote hawako tayari kumpoteza.Nikasema hizi chips/yai zinatukosesha wanawake na kuwapeleka kwa wazee.Mwanaume kula matunda,mboga mboga,soup na vyakula vya wanga kama ugali vile. Halafu pata dk kadhaa za mazoezi ya viungo pamoja na mazoezi ya misuli inayoshikilia uume ( PC muscles ).
Kuna mzee ana kama 68yrs jirani hana mke huwa anakuja na wasichana 20-25 sasa siku 1 wakakutana wawili wakapigana kuulizwa wakadai mzee ni noma kwa bed na kawashinda vijana na wote hawako tayari kumpoteza.Nikasema hizi chips/yai zinatukosesha wanawake na kuwapeleka kwa wazee.
Tuko naye mbezi beach lkn we si HE?Huyo mzee wa kumtafuta. Yupo maeneo gani?
Tuko naye mbezi beach lkn we si HE?
Ukirudi nyuma nilisema kuna mze kanishauri kula na kunywa vitu kadhaa basi ni huyo mzee,anakula mihogo ya kuchemsha asubuhi na uji wa ulezi,mchana ugali wa dona na samaki,usiku chapati na supu ya mboga mchanganyiko (vitunguu,nyanya,pilipili hoho,karoti na maharage).Yes, mimi ni He. Nataka nijue menu anayotumia huyo Mzee ili nami nianze mapema kabla engine haijaanza kusumbua.
Hivi sex sio mazoezi?Mbona mimi ni mfanyakazi wa holiday in na nakula mapochopocho na performance yangu super sana? sema labda mazoezi watu hawafanyi
Ukirudi nyuma nilisema kuna mze kanishauri kula na kunywa vitu kadhaa basi ni huyo mzee,anakula mihogo ya kuchemsha asubuhi na uji wa ulezi,mchana ugali wa dona na samaki,usiku chapati na supu ya mboga mchanganyiko (vitunguu,nyanya,pilipili hoho,karoti na maharage).
Hapana huu ni mlo wake wa kawaida lakini mzee yuko fit kitandani mpaka wasichana wanatoana ngeu kwa ajili yake.mmmmmm sasa huyo mzee anakula huo mlo sababu ya ngono tu??? anahitaji maombi