Janga lingine kwa vijana wa Kitanzania ni hili hapa

Janga lingine kwa vijana wa Kitanzania ni hili hapa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Wanayaita Dubu au Bonanza. Hapa unaweza ukaliwa hadi ubongo. Vijana wa Kitanzania sasa hivi mpaka huko vijijini huwaambii chochote kuhusu hii dubwasha.

Kwahyo wakati uraibu wa betting haujakolea vizuri, kuna uraibu wa Dubu/Bonanza ambapo mbaya zaidi wanachezq mpaka watoto wadogo wa shule za msingi.

Tunatengeneza Taifa la namna gani sijui, huku Betting, kule Dubu, pale Vinywaji vya energy. Huku ukisogea kidogo K-Vant.

Vipi mtaani kwako hili dubwasha lipo?

EEC8E71D-9B3C-422C-8E6C-53B0E66A6C5E.jpeg
 
Ni vigumu kila kitu kuzuia; kwa hao, wana vibali halali vya kufanya hiyo biashara
 
Mbona halina tatizo shida ni sisi wabongo kulifanya primary source ya uchumi hilo ni kwajili ya kujiburudisha tu
 
Wanayaita Dubu au Bonanza. Hapa unaweza ukaliwa hadi ubongo. Vijana wa Kitanzania sasa hivi mpaka huko vijijini huwaambii chochote kuhusu hii dubwasha.

Kwahyo wakati uraibu wa betting haujakolea vizuri, kuna uraibu wa Dubu/Bonanza ambapo mbaya zaidi wanachezq mpaka watoto wadogo wa shule za msingi.

Tunatengeneza Taifa la namna gani sijui, huku Betting, kule Dubu, pale Vinywaji vya energy. Huku ukisogea kidogo K-Vant.

Vipi mtaani kwako hili dubwasha lipo?

View attachment 2182861
Mkuu,
Kwani hiyo si ni aina mojawapo ya kamari kama betting zingine, au kuna utofauti?
 
Kwa heshima na taadhima naomba k-vant uitoe hapo mkuu.
Huo ni mvinyo ambao toka enzi na enzi upo na unapigwa toka kitambo.

Haya madubu ndo ya kuyapigia kelele sababu unaliwa pesa na wala huna unachopata zaidi ya maumivu.

K-vant unalipa pesa unapata vibe.
 
Wabongo inaonekana mna weak minds sana, haiwezekani kila kitu kwenu kinawazidi nguvu, yaani teknolojia zote mnazoletewa zinawa control badala ya nyinyi kuzi control.
 
Back
Top Bottom