Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Its their End which is near, hii dunia bado ipo sanaa, wenye akili ndio watakaoenjoy maisha hadi vizazi vyaothe end is near....!!
stay focuse.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its their End which is near, hii dunia bado ipo sanaa, wenye akili ndio watakaoenjoy maisha hadi vizazi vyaothe end is near....!!
stay focuse.
Kwan muda wa kampeni umefika?? Kampeni zikianza tutahamia studio kiwatungia nyimbo zenu za mbele mbele
Yaan ni watu wepesi mnoWabongo inaonekana mna weak minds sana, haiwezekani kila kitu kwenu kinawazidi nguvu, yaani teknolojia zote mnazoletewa zinawa control badala ya nyinyi kuzi control.
Hapana, shida sio maandalizi, kuna shida kubwa zaidi ya hiyo.Yaan ni watu wepesi mno
Nadhan sbb kuu ni kwakua hatukujiandaa na hiv vitu
wanayalipia kodi,iko ndiyo cha umuhimuWanayaita Dubu au Bonanza. Hapa unaweza ukaliwa hadi ubongo. Vijana wa Kitanzania sasa hivi mpaka huko vijijini huwaambii chochote kuhusu hii dubwasha.
Kwahyo wakati uraibu wa betting haujakolea vizuri, kuna uraibu wa Dubu/Bonanza ambapo mbaya zaidi wanachezq mpaka watoto wadogo wa shule za msingi.
Tunatengeneza Taifa la namna gani sijui, huku Betting, kule Dubu, pale Vinywaji vya energy. Huku ukisogea kidogo K-Vant.
Vipi mtaani kwako hili dubwasha lipo?
View attachment 2182861
Mi naamini hatukujiandaa kwa hiv vitu na pia haya mambo mpaka kuyafikia ni hatua ambazo hatujazipitia tumerukia tuHapana, shida sio maandalizi, kuna shida kubwa zaidi ya hiyo.