Jangwani kunateketea sasa ni official Bangala na Djuma Shabani wanataka kuondoka rasmi

Manara alisema akiwa Simba hivyo haina nguvu maana mpinzani anaweza kuongea chochote hata madai ya uwongo dhidi ya upande mwingine .

Kauli ya Rage inapaswa kuwekewa Lamination kabisa ...
Wala mihogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: Tui
Club inaendeshwa ki ujanja ujanja tu. Ukiacha goli la mama kuna hela za CAF, hela za Wadhamini SportPesa, hela za AzamTV. Kwa nje ukiiona utadhani Club ya maaaanaaa....!!!!
 
Club inaendeshwa ki ujanja ujanja tu. Ukiacha goli la mama kuna hela za CAF, hela za Wadhamini SportPesa, hela za AzamTV. Kwa nje ukiiona utadhani Club ya maaaanaaa....!!!!
Unaumia nini? wewe si uende kwa Mangungu huko mkaendeshwe kizungu na Manzoki mjumbe wa NEC

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…