Janja ya nyani: Tuoleane, Ukioa kwangu sitakutoza mahari! Huku nikijua kabisa sina mabinti wa kutosha kuozesha maana wengi walishaolewa

Janja ya nyani: Tuoleane, Ukioa kwangu sitakutoza mahari! Huku nikijua kabisa sina mabinti wa kutosha kuozesha maana wengi walishaolewa

Hili la Wakenya kukaribishwa kupewa ardhi, Rais SSH alirejee upya, lina ukakasi. Kuna kundi kubwa la vijana wenye elimu ya fani mbalimbali, Serikali yake iweke mazingira rafiki na wezeshi wasio na ajira waendeleze ardhi kwa kilimo kama ilivyo sasa kwa machinga na wachimba madini wadogo wadogo
Kama ardhi ipo mnashindwa kuitumia mama afanyaje?
 
ardhi ipo nyingi mmekazana kukaa dar na mijini tuh kulima hamtaki wacha waje huku na cc twende huko ...alaf naona kuna mijitu inasema kenya hakuna fursa ..kama ww huez kwenda watz kibao wanaeza acheni roho mbaya
 
ardhi ipo nyingi mmekazana kukaa dar na mijini tuh kulima hamtaki wacha waje huku na cc twende huko ...alaf naona kuna mijitu inasema kenya hakuna fursa ..kama ww huez kwenda watz kibao wanaeza acheni roho mbaya
Hujui hali halisi Kenya ndio maana unadhani unaweza kwenda huko!! Kwanza wao kwa wao hawaivi sembuse wewe!! Rais na makamu wake huko K-republic wameshindwana! wewe ndo utawezana nao! au nyang'au unawasikia tu kwenye bomba?
 
Back
Top Bottom