Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

Geneina (Al-Junaynah), Sudan Magharibi, watu 773 (wengi vijana, wanawake na wazee) wameuwawa kwa kuchinjwa na Janjaweed (Sudanese Arab militia group). Nyumba zimechomwa moto, wengi wametekwa.

JANJAWEED (devils on horseback - mashetani juu ya farasi) ni washirika wa kimkakati wa mtandao wa wanamgambo katika Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini unaojumuisha HAMAS na HEZBOLLAH.

Huwezi kusikia ni habari kubwa Duniani. Huwezi kusikia waafrika na watanzania wakilaani mauaji hayo. Huwezi kusikia serikali katili ya CCM ikitoa tamko kuhusu mauaji hayo ya raia huko Sudan.

Lakini vifo vya wapalestina na watu wa Israeli vimewaumiza watanzania kweli hadi wametangaza maandamano ya kusimama na Palestina wengine Israeli. Nani atasimama na raia wa Geneina, Sudan Magharibi?

Wizara ya mambo ya nje, imejikausha kama hakijatokea kitu Sudan. KIPARA anasubiri kuonekana kwenye ziara za ughaibuni na mapicha picha ya hapa na pale na ‘kavideo’ kamnato. Hawawezi kutoa tamko kulaani mambo haya!

Geneina (Al-Junaynah) ni mji mkuu wa West Darfur na umeathiriwa na vita ya Sudan. Battle of Geneina (Geneina massacre) watu 5,000 wameuwawa kati ya 24 April na 24 June na watu 370,000 ni wakimbizi.

Huwezi kuona hashtag za kuhusu tukio hilo. Hazilipi. Haziwalipi wanaharakati mchongo wa kiafrika. Wakazi wa Geneina (Al-Junaynah) 98% ni waumini wa dini ya Kiislam. Waislam wa Tanzania hawasimami nao?

Anyways, tukipata nafasi tutajadili vizuri hii vita ya Sudan.
View attachment 2808359
Dini ya kishenzi Sana hii 😡😡
 
Geneina (Al-Junaynah), Sudan Magharibi, watu 773 (wengi vijana, wanawake na wazee) wameuwawa kwa kuchinjwa na Janjaweed (Sudanese Arab militia group). Nyumba zimechomwa moto, wengi wametekwa.

JANJAWEED (devils on horseback - mashetani juu ya farasi) ni washirika wa kimkakati wa mtandao wa wanamgambo katika Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini unaojumuisha HAMAS na HEZBOLLAH.

Huwezi kusikia ni habari kubwa Duniani. Huwezi kusikia waafrika na watanzania wakilaani mauaji hayo. Huwezi kusikia serikali katili ya CCM ikitoa tamko kuhusu mauaji hayo ya raia huko Sudan.

Lakini vifo vya wapalestina na watu wa Israeli vimewaumiza watanzania kweli hadi wametangaza maandamano ya kusimama na Palestina wengine Israeli. Nani atasimama na raia wa Geneina, Sudan Magharibi?

Wizara ya mambo ya nje, imejikausha kama hakijatokea kitu Sudan. KIPARA anasubiri kuonekana kwenye ziara za ughaibuni na mapicha picha ya hapa na pale na ‘kavideo’ kamnato. Hawawezi kutoa tamko kulaani mambo haya!

Geneina (Al-Junaynah) ni mji mkuu wa West Darfur na umeathiriwa na vita ya Sudan. Battle of Geneina (Geneina massacre) watu 5,000 wameuwawa kati ya 24 April na 24 June na watu 370,000 ni wakimbizi.

Huwezi kuona hashtag za kuhusu tukio hilo. Hazilipi. Haziwalipi wanaharakati mchongo wa kiafrika. Wakazi wa Geneina (Al-Junaynah) 98% ni waumini wa dini ya Kiislam. Waislam wa Tanzania hawasimami nao?

Anyways, tukipata nafasi tutajadili vizuri hii vita ya Sudan.
View attachment 2808359
Pole yao, inasikitisha sana binadamu mwenzetu kutendwa unyama kiasi hiki.
 
Tatizo nchi zawenzentu watu waliokuwa serikalini wanavifadhili vikundi hivi vyakijinga we unafkiri kibiti kungekuwa nawaziri anamkono wake lile swala lingeisha?? Mtu unakuta amekaa madarakani miaka30 atakosa kuwa nawahuni wake mitaani?? Kiukweli jiwe nilipenda slogan zake sana ila lilipokuja swala lakutaka kujiongezea mda wakukaa madarakani nilimchukia mno ivi unafkiri yule mkuu wa wilaya ya Hai ingekuwaje
 
Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!

Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.

View attachment 2807203View attachment 2807204
waarabu wana roho mbaya mno,,,na ukitaka mwarabu akuheshimu,,,hakikisha anachokufanyia,wewe mfantye mara dufu kuliko alichokufanyia wewe,,,na hii ndio kanuni anayoitumi aMUISRAIL!!....akipigwa kidgo,yeye anaoiga pakubwa!!!!!!,sasa hawa wa2 wamewafanyia nini?///
 
Pole sana si Ijumaa hi weka Ijumaa ya mwanzo ya mwaka 2028 labda nisidhani atafika pia kwenye 2028 labda ndio hafiki tena mpaa mwisho wa dunia.
Kwenye wabantu wenzako tena imani yako umekaa kimya ila issue ya Waaarabu unashupaa!
 
Kwenye wabantu wenzako tena imani yako umekaa kimya ila issue ya Waaarabu unashupaa!
hawa wanatumika wapo wanaowatumia wanaona malengo yao yatatimia kuwajaza chuki wabantu ambao ni waislamu dhidi ya waarabu hii ni ajenda yao wajua wakiwamaliza waarabu na uislamu utakuwa umeisha hawajui ni nini maana uislam mataifa ya kiislam wanafitinishwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe na huku wanataka wabantu ambao ni waislamu tuwaunge mkono wanajaribu wanapima ila baaaaaado ikiwa mbinu hii haitafanikiwa basi watatumia mbinu m.badala hawalali
 
hawa wanatumika wapo wanaowatumia wanaona malengo yao yatatimia kuwajaza chuki wabantu ambao ni waislamu dhidi ya waarabu hii ni ajenda yao wajua wakiwamaliza waarabu na uislamu utakuwa umeisha hawajui ni nini maana uislam mataifa ya kiislam wanafitinishwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe na huku wanataka wabantu ambao ni waislamu tuwaunge mkono wanajaribu wanapima ila baaaaaado ikiwa mbinu hii haitafanikiwa basi watatumia mbinu m.badala hawalaliH

hawa wanatumika wapo wanaowatumia wanaona malengo yao yatatimia kuwajaza chuki wabantu ambao ni waislamu dhidi ya waarabu hii ni ajenda yao wajua wakiwamaliza waarabu na uislamu utakuwa umeisha hawajui ni nini maana uislam mataifa ya kiislam wanafitinishwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe na huku wanataka wabantu ambao ni waislamu tuwaunge mkono wanajaribu wanapima ila baaaaaado ikiwa mbinu hii haitafanikiwa basi watatumia mbinu m.badala hawalali
Haiwezekani watu watumiwe kiasi hiki hii iianza miaka mingi Janjaweed kuua watu weusi ila Civil war ndio imeendeleza kwa kiasi hiki
 
Watu wa dini wanafiki sana. Janjaweed ameua watu weusi Sudan bila kujali ni waislamu au wakristo na idadi kubwa ikiwa ni waislam weusi. Wanafiki kimya wamefyata maadam ni bwana wao mwarabu anafanya hayo tena dhidi ya mweusi huoni kelele mitandaoni

Waliosema charity begins at home hawakukosea. Unaendaje kupaza makelele masuala ya mbali wakati nyumbani au jirani kwako kuna mazito? Ifike wakati watu waipe kipaumbele akili kabla ya dini.

Dini bila akili ni kwenda utupu mbele ya hadhira.
🤜🤛
 
Hawa waliouliwa ni Waislam ila hautasikia Waislam popote duniani wameandamana au kulaani haya mauaji simply because muuaji siyo Muisrael au Mkristu.

Waislam kazi sana
Halafu kumbe janjaweed ni wing ya hizbollah na hamas maana yake ni chawa wa Iran pia Kaz ipo
 
Back
Top Bottom