Janjaweed wameua watu takribani 700 Sudan, mbona mko kimya?

Dini ya kishenzi Sana hii 😡😡
 
Pole yao, inasikitisha sana binadamu mwenzetu kutendwa unyama kiasi hiki.
 
Tatizo nchi zawenzentu watu waliokuwa serikalini wanavifadhili vikundi hivi vyakijinga we unafkiri kibiti kungekuwa nawaziri anamkono wake lile swala lingeisha?? Mtu unakuta amekaa madarakani miaka30 atakosa kuwa nawahuni wake mitaani?? Kiukweli jiwe nilipenda slogan zake sana ila lilipokuja swala lakutaka kujiongezea mda wakukaa madarakani nilimchukia mno ivi unafkiri yule mkuu wa wilaya ya Hai ingekuwaje
 
waarabu wana roho mbaya mno,,,na ukitaka mwarabu akuheshimu,,,hakikisha anachokufanyia,wewe mfantye mara dufu kuliko alichokufanyia wewe,,,na hii ndio kanuni anayoitumi aMUISRAIL!!....akipigwa kidgo,yeye anaoiga pakubwa!!!!!!,sasa hawa wa2 wamewafanyia nini?///
 
Pole sana si Ijumaa hi weka Ijumaa ya mwanzo ya mwaka 2028 labda nisidhani atafika pia kwenye 2028 labda ndio hafiki tena mpaa mwisho wa dunia.
Kwenye wabantu wenzako tena imani yako umekaa kimya ila issue ya Waaarabu unashupaa!
 
Kwenye wabantu wenzako tena imani yako umekaa kimya ila issue ya Waaarabu unashupaa!
hawa wanatumika wapo wanaowatumia wanaona malengo yao yatatimia kuwajaza chuki wabantu ambao ni waislamu dhidi ya waarabu hii ni ajenda yao wajua wakiwamaliza waarabu na uislamu utakuwa umeisha hawajui ni nini maana uislam mataifa ya kiislam wanafitinishwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe na huku wanataka wabantu ambao ni waislamu tuwaunge mkono wanajaribu wanapima ila baaaaaado ikiwa mbinu hii haitafanikiwa basi watatumia mbinu m.badala hawalali
 

Haiwezekani watu watumiwe kiasi hiki hii iianza miaka mingi Janjaweed kuua watu weusi ila Civil war ndio imeendeleza kwa kiasi hiki
 
🤜🤛
 
Hawa waliouliwa ni Waislam ila hautasikia Waislam popote duniani wameandamana au kulaani haya mauaji simply because muuaji siyo Muisrael au Mkristu.

Waislam kazi sana
Halafu kumbe janjaweed ni wing ya hizbollah na hamas maana yake ni chawa wa Iran pia Kaz ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…