kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Januari 27 ni kumbukumbu ya siku ya Kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Katika kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa watu utakiana Kheri na kutumiana salamu za kutakiana mema. Ikiwa kesho ni siku, una nini cha kumwambia kuonyesha upendo.
Katika kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa watu utakiana Kheri na kutumiana salamu za kutakiana mema. Ikiwa kesho ni siku, una nini cha kumwambia kuonyesha upendo.