Mkuu nenda katapike kama una kichefu chefu.Jiwe alikuwa sahihi kwenye baadhi ya vitu. Kumtoa huyu jamaa alikuwa yupo sahihi.
Ccm mwaka huu mtauana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nenda katapike kama una kichefu chefu.Jiwe alikuwa sahihi kwenye baadhi ya vitu. Kumtoa huyu jamaa alikuwa yupo sahihi.
Nenda pembeni katapike🤣🤣Anaforce kingi; ila game imeshamkataa.
Hii mitungi amepewa na nani au wizara ndio inagawa na kwa bajeti ipi.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
Kampeni za 2025 kwa gia ya gesiWaziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
Waziri toa hoja na siokutoakejeliWaziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
Bakieni na mavi yenu nyumbani1. Njoo mniue
2. Mtusifie kama tumefanya vema
3. Mkatapike.
Huyu ni presidential candidate mtarajiwa. Huyu kichwa boga nilivyokuwa namdhania hata sivyo. Kuna kilaza mmoja bungeni akasema ati Harvard material . Pfyuuuu . Mama akiangalia waliofoji vyeti polisi ,apitie na walioiba peper ndani ya baraza labda tutapumua.
Huyo Si waziri ni dalali wa gas ya wenyewe.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Muda wa kutapika utafika na hatokuwa na namna ya kuzuia watu wasitapike. Dharau ni ghali.Huyu kijana mpuuzi, yale yale ya wale Nyasi, yale yale ya wapige mbizi. Hopeless
Piga kazi January!Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Hiyo mitungi gesi ikiisha tu iliyomo haitatumika tena.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Mtarajiwa.... unless anataka kuoa mke wa pili ....!!Safi sana mtarajiwa
Ashike adabu yake. Maneno gani ya waziri kuwaambia watu hata kama wanakupinga. Hao kina makamba ni wahuni tu.Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640