The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sindano kwenye mfupa,shikilia hapo hapo January wameanza kuelewa huku..Ashike adabu yake. Maneno gani ya waziri kuwaambia watu hata kama wanakupinga. Hao kina makamba ni wahuni tu.
Wamezoea kuhonga hawawezi acha. Sasa hebu aseme ataweza kugawa mitungi kwa wanawake wote nchini,? Na ni project ya serikali au anatumia hela zake.
Thubutu unajua hiyo pesa kwa kijijini ina thamani gani, wakati jalalani anapata vifuu na kuni za kuivisha maharage.Elfu 25,000 watatumiwa hata na watoto wao.
Nasema hivi utamtumia hata wewe wa mjini..Thubutu unajua hiyo pesa kwa kijijini ina thamani gani, wakati jalalani anapata vifuu na kuni za kuivisha maharage.
Akipata akaanza hizo swaga akiwa chamwino ama magogoni huoni atazua taharuki ya bure? Bora wajumbe tumejua mapemaNdio kakuambia anataka Urais? Kuwa presidential mtarajiwa kuna shida gani? Wajumbe si wapo?
Kama hafai wajumbe sio watu si mpo?Akipata akaanza hizo swaga akiwa chamwino ama magogoni huoni atazua taharuki ya bure? Bora wajumbe tumejua mapema
Makamba;-
Njoo na mkakati wa kushusha Bei ya nishati!!
Usifanye siasa rahisi ya kugawa t shirt na kofia kama unavofanya!!
Tatua tatizo la muda mrefu achana na zimamoto!!
Nishati ya gesi ni nafuu kiasi GANI ukilinganisha na bei ya nishati nyinginezo!!?una wapa majiko je kuna unafuu wa kuijaza Hiyo gesi!!?
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!!
Duh nani sasa tena atapikeWaziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi basi aende pembeni kutapika lakini hataacha wala kusimamisha zoezi la kugawa mitungi kwa sababu ni msaada mkubwa kwa akina mama.
"Sasa kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika, lakini maisha yataendelea.Hatutaacha wala kusimama kuigawa kwa sababu ni msaada mkubwa kwa kina mama," amesema January.
CHANZO: Facebook/ Mwananchi Julai 25, 2022
View attachment 2304640
Muulize yeye mwenyeweushenzi wake nini
Ile yule aliye mkae na mavi yenu ndio alikuwa president material [emoji38]1. Njoo mniue
2. Mtusifie kama tumefanya vema
3. Mkatapike.
Huyu ni presidential candidate mtarajiwa. Huyu kichwa boga nilivyokuwa namdhania hata sivyo. Kuna kilaza mmoja bungeni akasema ati Harvard material . Pfyuuuu . Mama akiangalia waliofoji vyeti polisi ,apitie na walioiba peper ndani ya baraza labda tutapumua.
Uanasiasa mzoefu ameupata lini!!??!Huyu kuna sehemu hayuko sawa. Anahitaji mshauri nasaha.
Dalili ngumu sana hii kwa mwanasiasa mzoefu wa miaka mingi.
Bwana ako mtarajiwa au??Safi sana mtarajiwa