😂 dahmwaka kwenye kalenda yake umeanza na "WTF", Yani Wednesday, Thursday, Friday.
na kirefu cha "WTF" ni What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!.. tayari mwaka umeonyesha makandokando yake mapema mno!..🤣
Aloo sio poa wazee..mwaka kwenye kalenda yake umeanza na "WTF", Yani Wednesday, Thursday, Friday.
na kirefu cha "WTF" ni What the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala!.. tayari mwaka umeonyesha makandokando yake mapema mno!..🤣
Ni sawa Mkuu,yeye kaona kunamtosha!Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita..
Nimeshangaa sana.
Alfu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.
Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Ungempa zaidi ya 600Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita..
Nimeshangaa sana.
Alfu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.
Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Hukupaswa kumshangaa, ulipaswa ujiongeze kwa kumpatia kiasi zaidi.Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita..
Nimeshangaa sana.
Alfu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.
Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.