Januari yamoto sana, kuna mgeni amekuja kwangu nilitaka nimuagizie soda amegoma amesema nimpe tu hiyo 600. Nimebaki na mshangao sasa

Januari yamoto sana, kuna mgeni amekuja kwangu nilitaka nimuagizie soda amegoma amesema nimpe tu hiyo 600. Nimebaki na mshangao sasa

Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita.

Nimeshangaa sana.

Halafu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.

Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Watanzania wasengenyaji sana.
Mbona kuishiwa ni kawaida sana tu?
 
Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita.

Nimeshangaa sana.

Halafu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.

Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Hiyo ndi maana ya njaanuari
 
Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita.

Nimeshangaa sana.

Halafu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.

Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Chai
 
Unaweza kosa hata mia mbili ya kuvukia ferry hapo..... Japo hii ilikuwa memes akini watu wanapitia hard time
 
Na nyie wenzangu mmeshawahi kukutana na jambo kama hili, yaani mgeni anazua mia sita kweli jamaani yaani ameona soda ni anasa kabisa kitu cha mia sita.

Nimeshangaa sana.

Halafu mwenye hana presha wala wasiwasi with confidence kabisa.

Iseee huu mwaka 2025 umeanza kiajabu kabisa.
Ni kweli, hali siyo hali tulikuwa mgaha fulanu wa wapemba tunakula samaki, dereva mmoja wa lory akabakiza dagaa wa kukaangwa, kijana mmoja mkusanya taka akawaomba wale dagaa ale
 
Soda bila kula ni kujaza gesi tumboni, wew weka 600 mezani, tukaendeleze mitikasi
 
Back
Top Bottom