January Makamba: A New Generation Leader!

January Makamba: A New Generation Leader!

Hakuna correlation. Na angekuwa anafanya vizuri taifa na lenyewe lingekuwa linafanya vizuri.

Hata ZeUtamu imezungumziwa saaaan tu. So siyo kila kitu, siyo kila mtu anayezungumziwa basi anafanya vizuri. Logic zingine bana....

Jamani, January Makamba, si kama anafanya kazi peke yake Ikulu kha!, mbona kuna wachemshaji wengi tu ikulu, lakini ni kwa sababu we don't know them and most of them you can't even put them at the same level na january, he's waaaaay better than them. You guys are loading him with all the problems of this Nation as if He's the only one working there.

GIVE THE GUY A BREAK, GEEEEEEEEEZ!
 
Last edited:
kui said:
Jamani, January Makamba, si kama anafanya kazi peke yake Ikulu kha!, mbona kuna wachemshaji wengi tu ikulu, lakini ni kwa sababu we don't know them and most of them you can't even put them at the same level na january, he's waaaaay better than them. You guys are loading him with all the problems of this Nation as if He's the only one working there.

GIVE THE GUY A BREAK, GEEEEEEEEEZ!

kui,

..January ni mwandishi mkuu wa hotuba za Raisi Kikwete.

..sasa ukiangalia quality ya speech za Kikwete ni poor kulinganisha na zile za Mkapa.

..kuna tatizo ktk kitengo cha waandishi wa hotuba za Kikwete.

..January angeanza kutusaidia ktk hilo, hasa the contents of these speeches.

NB:

..ile kauli yake kuhusu Nigeria it was just a rookie mistake.

..wazoefu wa masuala ya diplomasia hawawezi kufanya makosa kama yale.

..naamini January amejifunza. we all learn frm our mistakes.
 
Jamani, January Makamba, si kama anafanya kazi peke yake Ikulu kha!, mbona kuna wachemshaji wengi tu ikulu, lakini ni kwa sababu we don't know them and most of them you can't even put them at the same level na january, he's waaaaay better than them. You guys are loading him with all the problems of this Nation as if He's the only one working there.

GIVE THE GUY A BREAK, GEEEEEEEEEZ!

We umeshaanza kutafuna kucha.
 
Arrr wewe nawe unaonekana mgeni sana hapa JF. JM alikwibaga makala za NY Times some days back, akachomekeachomekea kwenye nakala zake za kalunguyeye watu wakamuanika hapa ukumbini akaenda kuziondoa kwenye ka-blog kake fastafasta..sasa hio nayo nini mazee?

Kwanza wakati anaanzisha blog yake aliandika kuwa ameamua kufanya hivyo kwa sababu kila mtu anablog, waungwana walivyojadili akaenda kubadirisha. Tukirudi kwenye hotuba hapo ndipo kwenye mzozo kwa maoni yangu hotuba nyingi za Kikwete hazina jipya ni marudio ya vtu vile vile anavyozungumza kila siku.
 
Kwanza wakati anaanzisha blog yake aliandika kuwa ameamua kufanya hivyo kwa sababu kila mtu anablog, waungwana walivyojadili akaenda kubadirisha. Tukirudi kwenye hotuba hapo ndipo kwenye mzozo kwa maoni yangu hotuba nyingi za Kikwete hazina jipya ni marudio ya vtu vile vile anavyozungumza kila siku.

Sio tuu hazina vichwa bali pia inabidi Kikwete mwenyewe abadilishe kama ilivyotokea Bungeni na sehemu nyingine
 
kwikwikwikwikwikwikwi mkuu umeuaaaa.....sio kucha tu hata huko chini kushalowa......

Am soooooooooooooooooooo not in the mood of talking to you!
or seeing your comment about me.
 
Jamani amewaahidi chochote nini ili mumpigie debe?....kama mambo ni kwa picha basi mtakuwa na viongozi wa picha wengi tu..
 
Hehehehehe Madela bana unachekesha sana. Lakini umesema kweli. Huyo jamaa kweli ulimlinganisha na Kikwete anaonekana kichwa. Any average person for that matter, ukimlinganisha na Kikwete ataonekana kichwa.

Hivi kwa mfano Kikwete anaweza kwenda toe to toe na Mama Clinton kwenye debate? Au Mama atakuwa too much na mismatch?

Maybe Kikwete na Sarah Palin...Lol

Ukimpa Palin utakuwa umemwonea JK, labda Pat Buchanan
 
IMG_7948.jpg


ajabu hakuna anayetaka kum criticise JM based on his competency
 
Last edited:
Kwanza wakati anaanzisha blog yake aliandika kuwa ameamua kufanya hivyo kwa sababu kila mtu anablog, waungwana walivyojadili akaenda kubadirisha. Tukirudi kwenye hotuba hapo ndipo kwenye mzozo kwa maoni yangu hotuba nyingi za Kikwete hazina jipya ni marudio ya vtu vile vile anavyozungumza kila siku.
idiot.jpg
 
Mi nadhani tufike mahali watu tuwahukumu kwa matendo yao. January Makamba ahukumiwe kama yeye. Yes, NI MTOTO wa Makamba..lakini kijana kaenda shule sasa kwa nini asipewe kazi kama anaweza kuifanya? Otherwise elimu yake itakuwa haina maana... Do you really think kwamba angekuwa kilaza JK angemuweka pale? Hapana. Naamini ni uwezo wake..sasa kama anapelea katika sehemu fulani..nadhani hilo si swala la Makamba ni la mwajiri wake ambaye ni JK, ndo wa kujua kwamba his employee is not upto the task. Personally, I applaud Janaury,hata kama amebebwa..lakini anabebeka. And he has got something to prove. Akitaka uongozi atakuja atoe sera mbele ya Tanzania..maana sisi ndo wapiga kura. Its upto us.

And lets face it, hata kama ni wewe you are likely to hire a person you know especially his kazi za kuwa personal assistant. Sasa kama kijana ana vigezo (kadri JK anavyoona inafaa) kwa nini sisi tumshambulie? Mimi Masanja I know no body..lakini its MY DUTY to create my own network. Its a lame excuse kila siku kulia lia eti sifanikiwi kwa sababu mimi ni mtoto wa Mkulima. Yes, my father is a peasant, so what??? Should I also be condemned to poverty? No way..hilo nalipinga. Na mimi hao wahusika nitawafahamu on my own! Just like Makamba or Malecela did..maana na wao walisota......Unafikiri Makamba yeye alifanikiwaje?..Fair game hapa duniani haipo..ni vyema kujifunza namna ya kukabiliana na hali halisi.

The same like Malecelas...its unfair kusema kwamba wamejazana NY au kwingineko..ukiangalia wengi wa watoto wake..shule zimetulia..sana sana..watu tuhoji competence yao na hiii fairness ya kuwaweka pale walipo. Personally yule mtoto wake aliyeko ubalozini NY..I know her..amekaa sana pale kijiweni BAMAGA kwenye ile NGO ya akina Clement Mashamba ya Legal Aid for two years..and by then Iam sure no body knew her..eye brows zimekuwa raised baada ya yeye kwenda NY..wapi na wapi bwana..mdada wa watu ana vyeti...kama uliomba kazi ukaenguliwa..weka evidence zako hapa..tuzijadili..ila hizi habari za vijiweni eti watu wanapendeleana wakati hata applications hukutuma...haitusaidii....Tufike mahala tukubali..vitu vingine vipo tuu..the same yule kijana aliye pale NY ubalozini kama economic attache..I know the dude..tumekula wote hard time mtaani tukiwa chuo..sasa leo jamaa kahangaika kikaeleweka..people will start questioning. Nadhani ni vyema tukauliza maswali legit kama haya..kwa ku-trace history na maisha ya mtu..kuna wengine wazee wao wamekuwa vingunge..lakini they are suffering like the rest..

So let the guy Makamba do his things. Nepotism nadhani inakuja pale mtu unapoonekana umebebwa bila vyeti na kupendelewa... But when you can do the job...there is no problem...wewe fanya kazi yako kwa uadilifu na bidii..kuna siku wahusika wataona juhudi zako. You never know! Tusilalamike.
 
Mi nadhani tufike mahali watu tuwahukumu kwa matendo yao. January Makamba ahukumiwe kama yeye. Yes, NI MTOTO wa Makamba..lakini kijana kaenda shule sasa kwa nini asipewe kazi kama anaweza kuifanya? Otherwise elimu yake itakuwa haina maana... Do you really think kwamba angekuwa kilaza JK angemuweka pale? Hapana. Naamini ni uwezo wake..sasa kama anapelea katika sehemu fulani..nadhani hilo si swala la Makamba ni la mwajiri wake ambaye ni JK, ndo wa kujua kwamba his employee is not upto the task. Personally, I applaud Janaury,hata kama amebebwa..lakini anabebeka. And he has got something to prove. Akitaka uongozi atakuja atoe sera mbele ya Tanzania..maana sisi ndo wapiga kura. Its upto us.

And lets face it, hata kama ni wewe you are likely to hire a person you know especially his kazi za kuwa personal assistant. Sasa kama kijana ana vigezo (kadri JK anavyoona inafaa) kwa nini sisi tumshambulie? Mimi Masanja I know no body..lakini its MY DUTY to create my own network. Its a lame excuse kila siku kulia lia eti sifanikiwi kwa sababu mimi ni mtoto wa Mkulima. Yes, my father is a peasant, so what??? Should I also be condemned to poverty? No way..hilo nalipinga. Na mimi hao wahusika nitawafahamu on my own! Just like Makamba or Malecela did..maana na wao walisota......Unafikiri Makamba yeye alifanikiwaje?..Fair game hapa duniani haipo..ni vyema kujifunza namna ya kukabiliana na hali halisi.

The same like Malecelas...its unfair kusema kwamba wamejazana NY au kwingineko..ukiangalia wengi wa watoto wake..shule zimetulia..sana sana..watu tuhoji competence yao na hiii fairness ya kuwaweka pale walipo. Personally yule mtoto wake aliyeko ubalozini NY..I know her..amekaa sana pale kijiweni BAMAGA kwenye ile NGO ya akina Clement Mashamba ya Legal Aid for two years..and by then Iam sure no body knew her..eye brows zimekuwa raised baada ya yeye kwenda NY..wapi na wapi bwana..mdada wa watu ana vyeti...kama uliomba kazi ukaenguliwa..weka evidence zako hapa..tuzijadili..ila hizi habari za vijiweni eti watu wanapendeleana wakati hata applications hukutuma...haitusaidii....Tufike mahala tukubali..vitu vingine vipo tuu..the same yule kijana aliye pale NY ubalozini kama economic attache..I know the dude..tumekula wote hard time mtaani tukiwa chuo..sasa leo jamaa kahangaika kikaeleweka..people will start questioning. Nadhani ni vyema tukauliza maswali legit kama haya..kwa ku-trace history na maisha ya mtu..kuna wengine wazee wao wamekuwa vingunge..lakini they are suffering like the rest..

So let the guy Makamba do his things. Nepotism nadhani inakuja pale mtu unapoonekana umebebwa bila vyeti na kupendelewa... But when you can do the job...there is no problem...wewe fanya kazi yako kwa uadilifu na bidii..kuna siku wahusika wataona juhudi zako. You never know! Tusilalamike.

yaani wewe ndo hujui hata umeegemea upande gani....hivi unajua ni watoto wangapi wa hawa wakubwa wapewa nafasi kwa majina ya baba na mama zao? Nenda pale pesa zinapopitia (benki kuu), na niambie elimu gani unayoizungumzia kwa huyo january impe sifa unayotaka awe nayo? Je unajua kuwa hawa watoto wanasomeshwa lwa kodi zetu kisha wanakuja kututawala kwa kuwa wametumia jasho letu kupata elimu bora huku sisi walalahoi tukiambulia shule za mafungu while they enjoy the fruit of clean CV za kusomea nje na vyuo bora...if you really know the guy tel us his educational background uone alipoanzia na alipoishia.

Tunacholalamika hapa si jina la mtu bali utaraibu wanaoutumiwa na viongozi wetu kutengeneza tabaka la watawala na watawaliwa. Na hii si Tanzania bali Afrika kote, kupeana madili tu kwa majina. january na wenzio wa aina hii hawapaswi kupewa sifa kwa lolote as long as hawapo katika pull ya uswa kwa vijana wa kitanzania. unataka kuniambia uwezo wake pekee ndio uliompa sifa ya kazi aliyo nayo sasa huku JK akimchagua baba yake kuwa katibu mkuu na kisha mbunge, how far are you sure hakuna personal favour hapa? Poa kama anataka mtu anayemjua awe msaidizi wake na si kumkweza kwa makwezio yasio na mashiko.
 
IMG_9112.jpg


bado hakuna aliyekuja na hoja mahususi kwa nini JANUARY HAFAI naona mna zunguuka zunguka tuu hapa
 
Last edited:
Back
Top Bottom